Mo-Reece
JF-Expert Member
- Feb 10, 2013
- 223
- 258
Mkuu mbna unataka kuua kabsaWewe mhonge tu hela nyingi.
maneno ya kumwambia bwana ake atayafahamu wenyewe . ili aachane nae
Mkuu mbna unataka kuua kabsaWewe mhonge tu hela nyingi.
maneno ya kumwambia bwana ake atayafahamu wenyewe . ili aachane nae
Ila akipata mwingine na wewe atakuachaIla naona huyu Msichana ni muoga, sio mzoefu wa Haya mambo.
Ndo maana anajiuliza afanyeje!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mnunulie basi hata ka helicopter kama ka gwajima. angalau muwe mnapaa angani. huku ukimfundisha maneno ya kumwambia. na wewe ,hata hujiongezi
Muosha huoshwaDuuuuh[emoji134]
sio mimi bana. kuna mtu ali hack kiakanti changu kwa mda[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hivi ni wewe unayefanya uhalifu huuu
We unaona hiyo ndo sababu ya msingi kweeli....Duuuuuh! Anachoniuliza ni kwa nini Siku zote hizo sikumwambia huo mtongozo!
Hadi leo ana mtu,na anasema afanyaje sasa! Amwambiaje huyo mtu?