Msiba siku ya Ndoa

CharmingLady

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2012
Posts
18,304
Reaction score
12,997
Habari zenyu binafsi wana wa kiume na kike jukwaa hapa?

Najua kuna baadhi ya watu hii hali imewahi kuwatokea ama wameshuhudia.

Ifikapo siku ya harusi ama kukaribia siku ya harusi kunatokea msiba aidha upande wa bwana harusi mtarajiwa au bibi harusi mtarajiwa. Anaweza akafariki mhusika mwenyewe au ndugu wa karibu wa wahusika hao.

Hali hii imekuwa ikitafsiriwa na baadhi ya makabila kwa tafsiri mbalimbali.

Naomba wanazuoni watupe ufafanuzi je hii hali uhusiana na nini!? Pia kuna baadhi ya makabila hufanya matambiko kuzuia hii hali ya msiba kipindi cha harusi.

Karibuni kwa mjadala.
 
Siku ya kufa huwa haijulikani ni lini.Ikitokea mtu kafa siku ya harusi yake, hata hicho kifo hakijui kama hiyo ni siku ya harusi.Mi nadhani huwa inatokea tu.
 
makabila yana mila zake , na kila unapoowa au kuolewa na mtu fulani kuna taratibu zake kuingia ndani.haya ni mambo ya mila zaidi,na kuna framilia zingine hazitakiwa kuowana kutokana na tofauti ya matambiko ikitokea wakaowana ndio huondoka na mtu.
 
Basi shusha neno la unabii kuhusu hii mada........

Kwa maana wale ulionipa sijampoteza hata mmoja.

Imeandikwa usimjaribu Bwana Mungu wako.

Baada ya kusema hayo napenda kukufahamisha kuwa hakuna yoyote ajuaye siku atakayokuja mwana wa Adam..... kesheni mkiomba kwa kuwa hamuijui siku wala saa

Na hili ndilo neno la Mungu.
 
yaani kama mimi ndo kwanza nasikia leo kuwa hiyo hali inaweza ikaashiria kitu......

Mkwe kama ndio hivyo.... watoto wetu wasiwowane maana kuna uwezekano wa mimi au wewe..... sana sana wewe ukaRIP.
 

Basi fanya juu chini tupate muda wa faragha wa kutafakari neno hili.......

Na wote tuseme Amina. ......
 
ili kuzuia chukua maji tia kwenye ungo simama ktkt mlango wa bafu halafu unywe huku unasema msima usije mpaka harusi ipite ,sema mara tatu
 
sijui wanafanyaje ila najua tu wakishafunga ndoa anakufa hapo hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…