Nimefiwa na Mama Yangu Mzazi Hospitali ya Selian Mjini Arusha.
Alikuwa na tatizo ya maji kwenye mapafu. Nashauri tuwe tunapima afya zetu kwani tatizo kama hili likijulikana mapema linatibika. Kama bado una wazazi wanakutegemea wasaidie kuwacheki afya zao kwani unaweza sogeza umri wao mbele
Pole sana ndugu yangu, Na nashukuru kwa ujasiri wako wa kuikumbuka JF hata kwa wakati mgumu ulionao. Ni upendo wa kweli umeonyesha kwetu. Mungu amlaze mahali pema.
Nimefiwa na Mama Yangu Mzazi Hospitali ya Selian Mjini Arusha.
Alikuwa na tatizo ya maji kwenye mapafu. Nashauri tuwe tunapima afya zetu kwani tatizo kama hili likijulikana mapema linatibika. Kama bado una wazazi wanakutegemea wasaidie kuwacheki afya zao kwani unaweza sogeza umri wao mbele
Pole sana mkuu..msiba wa mama unauma sana...tukuombee tuu mungu akupe ujasiri katika kipindi hiki kigumu kupita vipindi vyote duniani...sisi sote tu njia moja ni wakati sasa umefika tuamini kuwa kifo kipo na tunapita wote...RIP Mama
pole sana mkuu. uchungu wa kufiwa na mzazi hausemeki, mm pia yalishanikuta,
JIFARIJI NA UJIPE MOYO MKUU UKIJUA KWAMBA, kWA MUNGU TUMETOKA NA HUKO HUKO TUTAREJEA.
WAKRISTO TUNAAMINI KUISHI NI KRISTO NA KUFA NI FAIDA.
LALA SALAMA MAMA!
Nimefiwa na Mama Yangu Mzazi Hospitali ya Selian Mjini Arusha.
Alikuwa na tatizo ya maji kwenye mapafu. Nashauri tuwe tunapima afya zetu kwani tatizo kama hili likijulikana mapema linatibika. Kama bado una wazazi wanakutegemea wasaidie kuwacheki afya zao kwani unaweza sogeza umri wao mbele