Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
Mtoto kamuona mama yake maziwa akamuliza mama hiyo ni nini? ,mama akajibu mapulizo,mtoto akasema ahaa kumbe ndio mana baba alikua anampuliza dada wa kaz kule jikoni . mother akazimia
Mtoto kawasha tanuru la moto
mother lazima alete balaa hapo lazime pachimbikeWewe Ivuga weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeee...
Hahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Ni nzuri Saint Ivuga. Ila umeniharibia mwishoni kwa kuweka maneno haya: mother kazimia. Ucheshi niupendao ni pale mtu unacheza na imagination zako kuhusu kilichotokea.Mtoto kamuona mama yake maziwa akamuliza mama hiyo ni nini? ,mama akajibu mapulizo,mtoto akasema ahaa kumbe ndio mana baba alikua anampuliza dada wa kaz kule jikoni . mother akazimia
Ni nzuri Saint Ivuga. Ila umeniharibia mwishoni kwa kuweka maneno haya: mother kazimia. Ucheshi niupendao ni pale mtu unacheza na imagination zako kuhusu kilichotokea.