Mshitakiwa

Kumbe umeanza kugundua hiyo ndo kazi ya CCM,MAJUNGU NA KUCHONGEANA.Hana tofauti na wewe unachokifanya leo kubamba watu kesi za ugaidi.Mnatofautiana kwa moja tu:wawa yeye alijitambua na kuamua kuondoka CCM,wewe na Chemba mmeenda hatua ya juu zaidi yaani kung"oa watu kucha,kulipua mabomu n.k.
 
Hongera Nape kwa kutupa hili somo. Sikujua unafiki wa Maalim Seif
 
Napeeee geuka nyuma utazame! Et magamba mangapi yamevuliwa kwa mapapa! Kwish ney nape!
 
Nape,
Unaonekana unaendekeza siasa za fitina.
Suala la muungano si la chama tena,nila watu sasa.
Usitake kumfitini Kiongozi wa chama kingine kwa lengo la kupotosha umma.
Watanzania wamebadilika hawadanganyiki kama mnavyoendelea kujidanganya.
Njoo na sera za Chama chako,linganisha na hali halisi,then utapata jibu.
 
Nape mwenyewe twister mzuri tu,ila siku hizi amekuwa makini,harushi rushi maneno ovyo,na anamlenga mtu specific,hongera zake.
 
Mheshimiwa Jaji, naomba kutoa hoja kuwa shitaka lililoko mbele yako halina uhalali wa kisheria kwa sababu mwendesha mashitaka (ccm) ana mgongano wa kimaslahi na mshitakiwa (cuf). Naomba kuitarifu makahama kuwa mshitakiwa ni mke halali wa ndoa wa mwendesha mashitaka. Katika kudhibitisha hilo, nina ninwasilisha ushahidi wa waraka wa ndoa yao ambapo wahusika wote wawili wameweka sahihi zao. Ninaamini kuwa uhusiano huo kwa vyovyote vile utavuruga mwenendo wa kesi hii.
 
History can make better future. Here history has made it
 

Hayo Maalim aliyafanya kwa kulinda sera ya ccm akiwa huko 1984

Ni ipi sera ya Muungano ya CUF inayovunjwa na Maalim?

Sera ngapi zavunjwa na makada ikiwemo ya ujamaa(kwa wamnaofisadi), sijatia machoni kiuwaraka
 
Hii tabia ya unafiki ni ya binadamu walio webgi sana.
Na siku hizi ndo inaonejana kushika kasi.
Hamad anatafuta kula kwa mrija siku zote wala siyo mtu wa kumshangaa.
Yeye siku zote anaitafuta zanzibar kwa namna zote akirudishe kwa Waarabu.
Anajua kwa serikali tatu atachukua Zanzibar.tatizo ni urais tu.
Ila ni ukweli usiofichika kwamba wote wanaotaka nafasi ya kuiongoza nchi wana agenda zao na siyo kufanya nchi kutoka kwenye umaskini.
 
Nape bdo kijana mdogo,unakuwa na fikra finyu za kutoa mawazo,bila shaka ukizeeka utakuwa mchawi.
 
Ukweli utabaki kuwa ukweli, Muungano unaendeshwa kibabe na sio matakwa yetu wananchi. Tunataka Tanganyika yetu
 
Nape ameshazoea kushikishwa, hata mada anazoanzisha mwenyewe baadaye anaziona za moto...
 
Hata wewe Nape ni mnafiki tu kama Maalim Seif, wewe na wanafiki wenzio si mliunda CCJ wakati mkiwa wanachama wa chama chenu cha majambazi? Kutwa nzima wewe kuwakejeli wapinzani, wacha uzandiki mchumia tumbo wewe. Kiboko yako EL, umeruka sarakasi za kujivua gamba weee leo kiko wapi?
 
Kuna kitu hapa sikielewi.

Kama Aboud Jumbe alijiuzulu mwaka 1984 na JK Nyerere aliacha Urais mwaka 1985, ilikuwaje Maalim Seif aibe faili Ikulu kwa Nyerere na kulipeleka Butiama ambako ni kijijini kwoa Nyerere. Kwa nini Nyerere asiagize tu walilete hilo faili?

Au kuna mtu kaelewa zaidi anifafanulie nyie GT?
 
Inaonekana kwenye muungano kuna ulaji kwa viongozi wetu.Wakiwa madarakani kasolo za muungano hazionekani wakitoka madarakani wanaanza kuziona kasolo za muungano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…