Nape,
Unaonekana unaendekeza siasa za fitina.
Suala la muungano si la chama tena,nila watu sasa.
Usitake kumfitini Kiongozi wa chama kingine kwa lengo la kupotosha umma.
Watanzania wamebadilika hawadanganyiki kama mnavyoendelea kujidanganya.
Njoo na sera za Chama chako,linganisha na hali halisi,then utapata jibu.