Steph Curry
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 5,936
- 4,713
Nilimsikia akijinadi kuwa anategemea kuwa Billionea kijana siku si nyingi na kwamba atafungua makampuni kibao,we wish him all the best,ingawa easy said than done.
Ametokelezea kwenye video mpya ya ommy dimpoz-Wanjera,akiwa yeye,Wema na Pettyman.
Pesa hiyo angejenga uswahilini
nyumba za kutosha za hali ya chini.
Kila mwisho wa mwezi angekuwa na uhakika
wa kuingiza senti.
Na kwa baadae angekaa kibarazani kajifunga
msuli anakula kichwa cha samaki mkavu
ghahwa, kashata na tende.
''Life is criminal''
miradi ya kivivu.Pesa hiyo angejenga uswahilini
nyumba za kutosha za hali ya chini.
Kila mwisho wa mwezi angekuwa na uhakika
wa kuingiza senti.
Na kwa baadae angekaa kibarazani kajifunga
msuli anakula kichwa cha samaki mkavu
ghahwa, kashata na tende.
''Life is criminal''
Sidhani kama unamtendea haki huyo Mshindi wa BBA 2014 Ndg. Idris maana kwa mawazo yake hilo ndo anaona atafanikiwa la muhimu ni kumuunga mkono kwenye business (kama na wewe Unajiweza KIUCHUMI), halafu, hapo si mwisho wa Mawazo yake anaweza kuja na kipya/creativity nyingine, binafsi ile tu kununua nyumba na gari la kawaida nimemuona ana akili ya maisha angekuwa mwingine angeishia kuwaTIA wakina Wema Sepetua na wengineo na kusafiri kila kona ya Dunia. Tumpe Muda kijana anaonekana ni mwenye upeo, after all hata akila hela yote inakuuma nini? Hela si yake?
Pesa hiyo angejenga uswahilini
nyumba za kutosha za hali ya chini.
Kila mwisho wa mwezi angekuwa na uhakika
wa kuingiza senti.
Na kwa baadae angekaa kibarazani kajifunga
msuli anakula kichwa cha samaki mkavu
ghahwa, kashata na tende.
''Life is criminal''
Kwanini ampe?Ila nyumba kwa habari za kitaa ile sio yake ni kuwa kapewa aishi na yule jamaa mmiliki wa HSC
Wazo zuri ila ni mawazo ya sie tunaoogopa kufeliPesa hiyo angejenga uswahilini
nyumba za kutosha za hali ya chini.
Kila mwisho wa mwezi angekuwa na uhakika
wa kuingiza senti.
Na kwa baadae angekaa kibarazani kajifunga
msuli anakula kichwa cha samaki mkavu
ghahwa, kashata na tende.
''Life is criminal''
Ndg. Idris seems ana akili ya maisha tofauti na mastaa wengi wa Bongo (Diamond excluded). Mbali na hivyo akiamua kula/kuto.mbea hela yote ni Sawa tu,hakuna kesi
Pesa hiyo angejenga uswahilini
nyumba za kutosha za hali ya chini.
Kila mwisho wa mwezi angekuwa na uhakika
wa kuingiza senti.
Na kwa baadae angekaa kibarazani kajifunga
msuli anakula kichwa cha samaki mkavu
ghahwa, kashata na tende.
''Life is criminal''