Hata kabla sijafanya,kwa idadi hyo % za magufuli zitashuka kidogo,kumbuka mwanzoni zile 5M zilikuwa zinaenda free but this time tutakuwa na 7-3.7=3.3, Kwahyo zitakazoenda free ni 3.3M only, what do u expect??CCM kwa takwimu walizo nazo wanachama wake ni milioni 7 hebu piga kwa hesabu hiyo.
Pia CHADEMA inakadiriwa inawanachama milion 3.7 hebu piga kwa hesabu hiyo ili ili tubalance analysis yako.
Pia tupingane kisayansi si maneno ya shobo.
Ulikuwa wapi siku zote mkuu? Haya uliyoandika ni Mungu kakuongoza si mwingine
Hata kabla sijafanya,kwa idadi hyo % za magufuli zitashuka kidogo,kumbuka mwanzoni zile 5M zilikuwa zinaenda free but this time tutakuwa na 7-3.7=3.3, Kwahyo zitakazoenda free ni 3.3M only, what do u expect??
Nimefanya anlysis baada ya kufanya research
kwenye makundi mbali mbali ya watu kulingana na
umri wao,na pia Nimefanya utafiti juu ya
wagombea wawili wenye nguvu (Mh.Lowasa na
Dr.Magufuli).
Nime-assume kwamba wagombea ni wawili hivyo basi
kura zote zitaenda kwao.
Nimecategorise wapiga
kura kwa umri,kutokana na takwimu ya tume ya taifa ya uchaguzi,wapiga kura wenye
umri kuanzia miaka 18-35 ni 12,894,576=57%,
36-50 ni 5,690,668=25% na 50-Above ni
4,165,544=18%.
CCM wana wanachama wasiozidi mil 5, ambayo ni
sawa na 22% ya wapiga kura wote,hvyo basi nitawapa 22% ya wapiga
kura kwa kila category.
kutokana na research niliyofanya, 80% ya wapiga
kura wenye umri wa miaka 18-35 watamchagua
Lowasa na 20% Magufuli,ukifanya calculation 22%
ya voters kwenye hili kundi ni 2,836,806, 20% ya
wanaobaki ni 1,926,215 na 80% ni 8,046,215, hvyo
basi jumla ya kura za wagombea ni LOWASA
8,046,215,Magufuli 4,848,359.
kwa 36-50 voters, 55% watamchagua Lowasa, 45%
watamchagua Magufuli,22% kwenye hili kundi ni
1,251,946,45% ya wanaobaki ni 1,997,424 na 55%
ni 2,441,296,jumla ya kura kwa wagombea, Lowasa
2,441,296, Magufuli 3,249,371.
Kwa 50-Above 70% watamchagua Magufuli, 30%
watamchagua Lowasa, 22% kwenye hili kundi ni
916,419,30% ya wanaobaki ni 974,737,70% ni
2,274,387,jumla ya kura kwa wagombea, Lowasa
974,737, Magufuli 3,190,806.
kutokana na analysis hii Mh.Lowasa atashinda urais
kwa kupata jumla ya kura 11,462,248 sawa na
asilimia 50.4.
Magufuli atapata jumla ya kura 11,288,536 sawa na
asilimia 49.6.
Margin of error +5or-5%.
NOTE: Mgombea wa chadema/ukawa ana nafasi
kubwa sana ya kushinda ukizingatia kwamba sija-
consider zile kura za moja kwa moja kutoka kwa
wanachama washirika wa ukawa lakini pia 10% ya
wanachama wa ccm wana imani na Lowasa kuliko
magufuli na wako tayari kumchagua Lowasa.
Ni ulofa na upumbavu kuamini kuwa eti 80% ya vijana watamchagua lowasa na 20% tu ndio watamchagua magufuli. Huu ni ulofa uliopitiliza. Wazalendo wote bila kujali umri wao watamchagua magufuli. Lowasa kura zake ni kitoka kwa wanywa viroba.
Wewe mjinga kweli..Uchaguzi wa mwaka huu una wagombea 8 wa Urais.
Moja: Kwa kuwa kuna wagombea nane basi hatutegemei kuwa jumla ya kura watakazopata Magufuli na Lowassa ziwe milioni 22.75 yaani 100% ya watu wowe waliojiandikisha.
Hii ni kwa sababu sio exactly watu wote waliojiandikisha watapiga kura.Lazima kutakuwa na dadi fulani ya watu ambao hawatapiga kura mf. watu 100
Mbili:
Lazima kuwe na asilimia chache inaweza kuwa 1% hadi 2% au zaidi ya kura jumla watakazopata wagombea wa vyama vya ACT, TLP ,Chaumma ADC,UPDP na NRA
Kwa hiyo jumla ya kura watakazopata Magufuli na Lowassa zitakuwa pungufu ya 100% ya kura zote halali, mathalani 98%.
Mwisho: Unavyoangalia uchaguzi mkuu wa Tanzania 2015 lazima ujue kuwa ;
1. Sio watu wote waliojiandikisha watapiga kura
2. Kati ya watu watakaopiga kura zipo kura zitakazoharibika
3. Idadi ya wanaogombea urais ni wagombea nane(8)
4. Jumla ya kura watakazopata Magufuli na Lowassa hazitafika asilimia 100% ya kura halali
Hapo sija kusoma vema jua pia kuwa mfano kwenye hiyo categorise hawawezi kujitokeza wote kupiga kura so hizo % huoni kuwa zitabadlika? Nomba ufafanuzi.
Ni ulofa na upumbavu kuamini kuwa eti 80% ya vijana watamchagua lowasa na 20% tu ndio watamchagua magufuli. Huu ni ulofa uliopitiliza. Wazalendo wote bila kujali umri wao watamchagua magufuli. Lowasa kura zake ni kitoka kwa wanywa viroba.
Hayo mahesabu yangeonesha ushindi kwa Magufuli basi ungeonekana ushapewa buku7 na wangeanza kuchambua mahesabu yako na kwa kuyapinga,ila hapo umefurahisha hivyo hawaitaji hata kuchambua mahesabu yako.
Ni ulofa na upumbavu kuamini kuwa eti 80% ya vijana watamchagua lowasa na 20% tu ndio watamchagua magufuli. Huu ni ulofa uliopitiliza. Wazalendo wote bila kujali umri wao watamchagua magufuli. Lowasa kura zake ni kitoka kwa wanywa viroba.
Wewe mjinga kweli..Uchaguzi wa mwaka huu una wagombea 8 wa Urais.
Moja: Kwa kuwa kuna wagombea nane basi hatutegemei kuwa jumla ya kura watakazopata Magufuli na Lowassa ziwe milioni 22.75 yaani 100% ya watu wowe waliojiandikisha.
Hii ni kwa sababu sio exactly watu wote waliojiandikisha watapiga kura.Lazima kutakuwa na dadi fulani ya watu ambao hawatapiga kura mf. watu 100
Mbili:
Lazima kuwe na asilimia chache inaweza kuwa 1% hadi 2% au zaidi ya kura jumla watakazopata wagombea wa vyama vya ACT, TLP ,Chaumma ADC,UPDP na NRA
Kwa hiyo jumla ya kura watakazopata Magufuli na Lowassa zitakuwa pungufu ya 100% ya kura zote halali, mathalani 98%.
Mwisho: Unavyoangalia uchaguzi mkuu wa Tanzania 2015 lazima ujue kuwa ;
1. Sio watu wote waliojiandikisha watapiga kura
2. Kati ya watu watakaopiga kura zipo kura zitakazoharibika
3. Idadi ya wanaogombea urais ni wagombea nane(8)
4. Jumla ya kura watakazopata Magufuli na Lowassa hazitafika asilimia 100% ya kura halali
Nimefanya anlysis baada ya kufanya research
kwenye makundi mbali mbali ya watu kulingana na
umri wao,na pia Nimefanya utafiti juu ya
wagombea wawili wenye nguvu (Mh.Lowasa na
Dr.Magufuli).
Nime-assume kwamba wagombea ni wawili hivyo basi
kura zote zitaenda kwao.
Nimecategorise wapiga
kura kwa umri,kutokana na takwimu ya tume ya taifa ya uchaguzi,wapiga kura wenye
umri kuanzia miaka 18-35 ni 12,894,576=57%,
36-50 ni 5,690,668=25% na 50-Above ni
4,165,544=18%.
CCM wana wanachama wasiozidi mil 5, ambayo ni
sawa na 22% ya wapiga kura wote,hvyo basi nitawapa 22% ya wapiga
kura kwa kila category.
kutokana na research niliyofanya, 80% ya wapiga
kura wenye umri wa miaka 18-35 watamchagua
Lowasa na 20% Magufuli,ukifanya calculation 22%
ya voters kwenye hili kundi ni 2,836,806, 20% ya
wanaobaki ni 1,926,215 na 80% ni 8,046,215, hvyo
basi jumla ya kura za wagombea ni LOWASA
8,046,215,Magufuli 4,848,359.
kwa 36-50 voters, 55% watamchagua Lowasa, 45%
watamchagua Magufuli,22% kwenye hili kundi ni
1,251,946,45% ya wanaobaki ni 1,997,424 na 55%
ni 2,441,296,jumla ya kura kwa wagombea, Lowasa
2,441,296, Magufuli 3,249,371.
Kwa 50-Above 70% watamchagua Magufuli, 30%
watamchagua Lowasa, 22% kwenye hili kundi ni
916,419,30% ya wanaobaki ni 974,737,70% ni
2,274,387,jumla ya kura kwa wagombea, Lowasa
974,737, Magufuli 3,190,806.
kutokana na analysis hii Mh.Lowasa atashinda urais
kwa kupata jumla ya kura 11,462,248 sawa na
asilimia 50.4.
Magufuli atapata jumla ya kura 11,288,536 sawa na
asilimia 49.6.
Margin of error +5or-5%.
NOTE: Mgombea wa chadema/ukawa ana nafasi
kubwa sana ya kushinda ukizingatia kwamba sija-
consider zile kura za moja kwa moja kutoka kwa
wanachama washirika wa ukawa lakini pia 10% ya
wanachama wa ccm wana imani na Lowasa kuliko
magufuli na wako tayari kumchagua Lowasa.
Hapo hujaweka goli la mkono kwa ccm
Nimefanya anlysis baada ya kufanya research
kwenye makundi mbali mbali ya watu kulingana na
umri wao,na pia Nimefanya utafiti juu ya
wagombea wawili wenye nguvu (Mh.Lowasa na
Dr.Magufuli).
Nime-assume kwamba wagombea ni wawili hivyo basi
kura zote zitaenda kwao.
Nimecategorise wapiga
kura kwa umri,kutokana na takwimu ya tume ya taifa ya uchaguzi,wapiga kura wenye
umri kuanzia miaka 18-35 ni 12,894,576=57%,
36-50 ni 5,690,668=25% na 50-Above ni
4,165,544=18%.
CCM wana wanachama wasiozidi mil 5, ambayo ni
sawa na 22% ya wapiga kura wote,hvyo basi nitawapa 22% ya wapiga
kura kwa kila category.
kutokana na research niliyofanya, 80% ya wapiga
kura wenye umri wa miaka 18-35 watamchagua
Lowasa na 20% Magufuli,ukifanya calculation 22%
ya voters kwenye hili kundi ni 2,836,806, 20% ya
wanaobaki ni 1,926,215 na 80% ni 8,046,215, hvyo
basi jumla ya kura za wagombea ni LOWASA
8,046,215,Magufuli 4,848,359.
kwa 36-50 voters, 55% watamchagua Lowasa, 45%
watamchagua Magufuli,22% kwenye hili kundi ni
1,251,946,45% ya wanaobaki ni 1,997,424 na 55%
ni 2,441,296,jumla ya kura kwa wagombea, Lowasa
2,441,296, Magufuli 3,249,371.
Kwa 50-Above 70% watamchagua Magufuli, 30%
watamchagua Lowasa, 22% kwenye hili kundi ni
916,419,30% ya wanaobaki ni 974,737,70% ni
2,274,387,jumla ya kura kwa wagombea, Lowasa
974,737, Magufuli 3,190,806.
kutokana na analysis hii Mh.Lowasa atashinda urais
kwa kupata jumla ya kura 11,462,248 sawa na
asilimia 50.4.
Magufuli atapata jumla ya kura 11,288,536 sawa na
asilimia 49.6.
Margin of error +5or-5%.
NOTE: Mgombea wa chadema/ukawa ana nafasi
kubwa sana ya kushinda ukizingatia kwamba sija-
consider zile kura za moja kwa moja kutoka kwa
wanachama washirika wa ukawa lakini pia 10% ya
wanachama wa ccm wana imani na Lowasa kuliko
magufuli na wako tayari kumchagua Lowasa.
Hapo umechemka mbaya mkuu. Kwanza kabisa hao unaowaita vijana asilimia 57 na unadai wanamuunga mkono EL sahau hiyo. Wameshasanuka mbaya. Pili ukumbuke kuwa UKAWA watagawana kura na ACT na vyama vingine vyote isipokuwa CCM wana wanachama wao wengi ambao hawadanganyikagi miaka yote. Hayo mahesabu kayafikirie upya mkuu ni ya zamani sana. Upepo ushageuka kitambo. Bodaboda hawafiki hata M1 na wao si wote wako huko.