Domo Kaya
JF-Expert Member
- May 29, 2007
- 531
- 59
Hilo linyegekuwa jambo la Busara sana kama angegombe uspika, ila atagombeaje na yeye sio mbunge tena, labla atafute jimbo achakachue ili aweze kugombea Ubunge kwanza aweze kuingia bungeni ndio aweze kugombea Uspika. Ila tatizo lililopo wapinzani wenyewe hawana ushirikiano, hapo unadhani atashinda kweli?