Kwenye basi nililolipanda leo wakati naenda kazini, nimesikia kuwa upinzani (Chadema) wamepata viti vingi vya ubunge, na baadhi ya wabunge wao ni sawa na 50 wa CCM, kama hivyo ni kweli basi mshaurini Slaa agombee Uspika kwani ameangukia pua kwenye uraisi, au bado mna matumaini?
Kwenye basi nililolipanda leo wakati naenda kazini, nimesikia kuwa upinzani (Chadema) wamepata viti vingi vya ubunge, na baadhi ya wabunge wao ni sawa na 50 wa CCM, kama hivyo ni kweli basi mshaurini Slaa agombee Uspika kwani ameangukia pua kwenye uraisi, au bado mna matumaini?
kwenye basi nililolipanda leo wakati naenda kazini, nimesikia kuwa upinzani (chadema) wamepata viti vingi vya ubunge, na baadhi ya wabunge wao ni sawa na 50 wa ccm, kama hivyo ni kweli basi mshaurini slaa agombee uspika kwani ameangukia pua kwenye uraisi, au bado mna matumaini?
Kwenye basi nililolipanda leo wakati naenda kazini, nimesikia kuwa upinzani (Chadema) wamepata viti vingi vya ubunge, na baadhi ya wabunge wao ni sawa na 50 wa CCM, kama hivyo ni kweli basi mshaurini Slaa agombee Uspika kwani ameangukia pua kwenye uraisi, au bado mna matumaini?
Jukwaa limevamiwa na wapuuzi.
Kwenye basi nililolipanda leo wakati naenda kazini, nimesikia kuwa upinzani (Chadema) wamepata viti vingi vya ubunge, na baadhi ya wabunge wao ni sawa na 50 wa CCM, kama hivyo ni kweli basi mshaurini Slaa agombee Uspika kwani ameangukia pua kwenye uraisi, au bado mna matumaini?
Acha kurupuka wewe...wewe unadhani sie ni type zako?? Chadema ni chama makini...hutuamuliwi na nyie mafisadi.. hata kama mchukue u-spika bado cha moto mtakiona... nadhani umejua vichwa vilivyotinga mjengoni...hata awe spika wa aina gani, hakuna kuburuzwa tena kwenye bunge hili, mlizoea, pamoja na wingi wenu, tumejipanga kwani vichwa vyetu vitatu ni sawa na wabunge wenu 150, kwa hiyo hatuna shaka na nyie kabisa..kazi mnayo..mmejibebea wabunge vilaza ambao kazi yao ni kwenda kungoja posho na kulala bungeni subirini muone moto!
Jukwaa limevamiwa na wapuuzi.