Iran saudi kusibgekuwa Na maambukizi
Mkuu ushafika iran au Saudi..Iran saudi kusibgekuwa Na maambukizi
muwe mnaelewa kina kaka, post haisemi kuvaa hivyo kuna zuia Corona, ila wale waliokua wanadhan mtu akivaa hivyo hawezi kupumua sasa wana- experience wanapumua vipi.Huyo mleta mada fala sana, yaani anaona ujiko kuvaa magunia kuficha jnsia na ndevu?
Sio haraka.muwe mnaelewa kina kaka, post haisemi kuvaa hivyo kuna zuia Corona, ila wale waliokua wanadhan mtu akivaa hivyo hawezi kupumua sasa wana- experience wanapumua vipi.
Mbona mnaharaka sana
Hivi ni wapi mmeambiwa na mleta post kwamba kuvaa vile Kuna zuia Corona? Mbona mna mvamia mleta mada kwa hisia zenu binafsi?Hayo si ni magunia tu ya kuficha jinsia na ndevu na upepo unapita kama kawa hata corona inapenya tu.Ulikuwa unataka kusema nini kwani?
Usihangaike na wafuasi wa mchungaji Mashimo huwa hawaelewi na hawajui kuwa hawajuimuwe mnaelewa kina kaka, post haisemi kuvaa hivyo kuna zuia Corona, ila wale waliokua wanadhan mtu akivaa hivyo hawezi kupumua sasa wana- experience wanapumua vipi.
Mbona mnaharaka sana
Unayumba mkuu...umekurupuka totallyHuyo mleta mada fala sana, yaani anaona ujiko kuvaa magunia kuficha jnsia na ndevu?
acha uongo kaka, kama ingekua wanavaa ili kuzuia vumbi basi hata wanaume wangekua wanavaa,Ulimbukeni tu,mswahili yeyote anayeiga utamaduni wa mwarabu au mzungu huyo mtu huwa namuona limbukeni asiye na akili,mfano mzuri ni vazi la hijab hili liliwasaidia watu wanaoishi jangwani kuepukana na vumbi la mchanga.lakini kwetu huku imekuwa kama ndio tiketi ya mtu kwenda peponi!!!
Sent using Jamii Forums mobile app