We naye umbea mwingi machine ikizimwa kidogo unalalama eti umeharibika!
Tafadhali tupe source ya Taarifa zako au Fafanua zaidi ili kuweka nyama topic yako.
Napata wakati mgumu kuamini taarifa hii lakini napata wakati mgumu zaidi kutokuiamini pia.[/QUOTE
Taarifa ya habari saa mbili radio one. Report kutoka hospitali ya taifa Muhimbili