jamesjones
Member
- Aug 13, 2015
- 27
- 1
Ndiyo maana..... Alikuwa anachekaaaaaa
Wewe ni mpumbavu kweli? Nyie ndio mnachapwa viboko na wakuu wa wilaya then mnatulia tu! Huyo daktari aharibu Mashine ili iweje? Hivi unafahamu kuwa ni hospitali moja tu ya serikali ina mashine hizo? Kwa hiyo mamilioni ya watu wanategemea mashine hizo, hivyo ni rahisi kufa.Hilo Gundu litaondoka na Mtu. Nyie jifanyeni wajanja mtawaona wajanja zaidi yenu. Nashauri kama itagundurika nihujuma inafanywa na madaktari basi watimuliwe na vyeti vyao vichanwe
Jamani mshaurini raisi mliye karibu naye...huu ni ufisadi mwingine..Leo hii machine hizo zimekufa tena