Yaani Museveni hakumpa kiranja wetu mkono kabisa na aliporudi nyumbani kaliweka jopo lote alilokuja nalo karantini.Unakumbuka ile ya Mu7 chuttle? Vijana wangu kilingeni walikuwepo....
Kuna kitu aliogopaYaani Museveni hakumpa kiranja wetu mkono kabisa na aliporudi nyumbani kaliweka jopo lote alilokuja nalo karantini.
Katika ulimwengu wa roho hii kitu sijui itakua inamaanisga nini.
Labda tupate dokezo kwako mwenye project
Uhuuuu nimmekushindwaHilo linaitwa janaba tasa halina faida zaidi ya kulisha mapepo
What happened yesterday there?Kama ni kufitinisha mkuu umefitinishakimavi Cha standard gauge..!
Hadi Chakwera kaamua kukatiza ziara na kurudi nyumbani kwake Mwalawi
Dah! Naanza kukuogopa..Nina mchango mkubwa sana kwenye kufisha na kufifisha nyota ya chama pendwa
Nimeroga sana hapo kabla lakini mwaka huu nimeroga mpaka jasho langu likawa linanuka uchawi
Nilijenga vilinge majini
Nikajenga vilinge ardhini
Nikajenga na angali
Nimepandikiza gundu kwenye rangi za chama
Wagombea nikawatupia gundu la kinyesi..mkubwa kabisa nikampiga jini kisirani
Nimeroga wala sijisifu ..nimeroga mpaka uchawi ukanikifu
Malighafi zangu maarufu zilikuwa ni
Maji ya gundu
Maji ya janaba bichi
Damu Chafu
Majani ya mkafiri
Nyota ya nuksi
Kinyesi cha popo/ngozi ya kinyonga
Mizizi ya mti chonganishi
Nikavaa koti la ugaguzi..walipokuja nikawapiga gundu wajumbe wakawaona kama maliwato ya jiji
Nikavaa koti la ulokole walipokuja kwa maombi nikawapiga muhuri wa upofu na kuzima nyota zao...walipojitokeza upenuni wajinadi wakakimbiwa na kuzomewa...
Nimejenga madhabahu za giza nyuani mwao
Nikajenga zingine kondeni
Na zingine kwenye mapito yao..hakuna nilipobakisha...na kila waliporudi kwangu kulalamika nikawaambia wamekosea masharti
Project inaendelea..huu ni mrejesho sehemu ya kwanza...mkiona wanakimbiwa..tambueni kuna miba za nungunungu zimetegwa kila pahala...
Kwahio unaliwahisha kabla halijakauka?!Malighafi bora ya kumfunga mtu nyota kizazi ama kufarakanisha ama kutengeneza limbwata
Aisee kazi ipo.Huwa mteja yuko tayari anasubiri