Mshana Witch project

Uko wazi sana. Umenikumbusha hapa:

 
Nilizikubali sana fact zako kwenye huo uzi na kamwe sikuwa na hoja ya kukupinga na hata kama ningekuwa nayo ingekuwa dhaifu
@mshanar UTABILI WAKO ULITIMIA SEMA WAROHO WA KITI WALIAMUA KUUVURUGA ngoja tusubirie next project
 
Namie umeniroga sio?!
 
Hongera sana
 
Hivi nikuiye shehe au nani mana duu unajua sana
Shehe wew umeshawahi kuon mtu analogwa na mtu ake wa karibu mfano mdogo wake, mama yake, au kaka yake.? Ushawhi kuona hilo au kushuhudia
Tena huo uchawi una nguvu sana halafu fukara ndio wanarogana sana..nina mifano kadha wa kadha...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…