Mshana Jr nisaidie

Machuchu

JF-Expert Member
Mar 31, 2017
1,260
956
Za leo wakuu,
Leo nimekaa sehemu kuwasikiliza wanaume 9 wakimpa pole mwenzao kwa yaliyomkuta.
Uyu mwanaume alikuwa na mali na uwezo na biashara kedekede na nyumba juu, alibahatika kuoa akapata watoto wa2 wa kike.... ila kwa imani za kiislam uyu mwanaume akaamua kuoa mwanamke mwingine kisiri bila Bi. mkubwa kujua.
Ziku zilivyozidi kwenda Bi. mkubwa akagundua kua wapo wa2. Akaamua adaitaraka ila mwanaume alikataa. Bi. mkubwa akaanza [HASHTAG]#VITUKO[/HASHTAG] ilibidi mume ashindwe akatoa [HASHTAG]#TARAKA[/HASHTAG] kishingo upande. Baada ya kupewa talaba Bi.Mkubwa akadai nyumba iuzwe kilamtu afe na chake. Nyumba ikauzwa wakagawana, Mwanaume yeye alinunua kiwanja kingine na ela ingine akaongeza nguvu kwenye [HASHTAG]#BIASHARA[/HASHTAG].

Maisha mapya kwa yule bwana yakaanza bila kuwa na Bi. mkubwa, akawa anaendelea na Bi. mdogo wakazaa watoto wa3. Ila kwa sasa uyu mwanaume maishayake yamekuwa mabovu sana amebaki na [HASHTAG]#KITANDA[/HASHTAG] na [HASHTAG]#GODORO[/HASHTAG] tu waototo ndio wanalala kitandani yeye analalachini anaweka neti na [HASHTAG]#MKEKA[/HASHTAG] analala tena kapanga nyumba ya [HASHTAG]#KIZA[/HASHTAG] (Haina umeme) kodi ni elfu 15 kwa mwezi pia ni mtihani kulipa anashindwa kumudu.

Biashara zote zimekufa kwa ujumla (Amefilisika) watoto wake aliozaa na Bi. mkubwa wale wa2 wamekuwa hawana maadili ya dini wamezalishwa ovyo ushungi wameuweka pembeni.

Leo sasa wenzake wanamwambia kua Bi. Mdogo hana [HASHTAG]#NYOTA[/HASHTAG] nae.....kua nyota yake na Bi. mdogo haziendani. Sasa apa najiuliza kwa swala la NYOTA linakujavipi au Bi. mkubwa amefunga roho na kuumizwa sana na kumuombea mabaya?.
 
Tunakusubiri wengi maana hata mimi nasumbuliwa kichwa na hayo masuala ya nyota. Mshana jr come pls
 
Za leo wakuu,
Leo nimekaa sehemu kuwasikiliza wanaume 9 wakimpa pole mwenzao kwa yaliyomkuta.
Uyu mwanaume alikuwa na mali na uwezo na biashara kedekede na nyumba juu, alibahatika kuoa akapata watoto wa2 wa kike.... ila kwa imani za kiislam uyu mwanaume akaamua kuoa mwanamke mwingine kisiri bila Bi. mkubwa kujua.
Ziku zilivyozidi kwenda Bi. mkubwa akagundua kua wapo wa2. Akaamua adaitaraka ila mwanaume alikataa. Bi. mkubwa akaanza [HASHTAG]#VITUKO[/HASHTAG] ilibidi mume ashindwe akatoa [HASHTAG]#TARAKA[/HASHTAG] kishingo upande. Baada ya kupewa talaba Bi.Mkubwa akadai nyumba iuzwe kilamtu afe na chake. Nyumba ikauzwa wakagawana, Mwanaume yeye alinunua kiwanja kingine na ela ingine akaongeza nguvu kwenye [HASHTAG]#BIASHARA[/HASHTAG].

Maisha mapya kwa yule bwana yakaanza bila kuwa na Bi. mkubwa, akawa anaendelea na Bi. mdogo wakazaa watoto wa3. Ila kwa sasa uyu mwanaume maishayake yamekuwa mabovu sana amebaki na [HASHTAG]#KITANDA[/HASHTAG] na [HASHTAG]#GODORO[/HASHTAG] tu waototo ndio wanalala kitandani yeye analalachini anaweka neti na [HASHTAG]#MKEKA[/HASHTAG] analala tena kapanga nyumba ya [HASHTAG]#KIZA[/HASHTAG] (Haina umeme) kodi ni elfu 15 kwa mwezi pia ni mtihani kulipa anashindwa kumudu.

Biashara zote zimekufa kwa ujumla (Amefilisika) watoto wake aliozaa na Bi. mkubwa wale wa2 wamekuwa hawana maadili ya dini wamezalishwa ovyo ushungi wameuweka pembeni.

Leo sasa wenzake wanamwambia kua Bi. Mdogo hana [HASHTAG]#NYOTA[/HASHTAG] nae.....kua nyota yake na Bi. mdogo haziendani. Sasa apa najiuliza kwa swala la NYOTA linakujavipi au Bi. mkubwa amefunga roho na kuumizwa sana na kumuombea mabaya?.
Sorry kwanza kwa kuja late
Hapa si swala la nyota bali ni kinyongo alichonacho bi mkubwa na pengine aliamua kwenda mbali zaidi akafanya yake kulipa kisasi
Haya matukio yapo kila mahali. Pesa imezitenganisha ndoa nyingi na kuharibu familia kabisa
Mnahangaika kutafuta kwa bidii wote mafanikio yakionekana mwenzako anakuona kikongwe umechuja na hufai kutoka naye. ..shida huanzia hapo!
Mali yoyote iliyotafutwa kwa pamoja ina roho ya kila mmoja. Mmoja akikosea tu imekula kwake na hata kwa wote pia...
Na hili si kwa wanaume tu hata wana wake hufanya haya makosa
 
Tunakusubiri wengi maana hata mimi nasumbuliwa kichwa na hayo masuala ya nyota. Mshana jr come pls
Ishu ya nyota IPO sana lakini si kwenye ishu kama hii....hapo unaona kabisa mzee kaharibu mwenyewe! Mambo ya ukewenza ni makubaliano ya wawili....ni lazima mkemkubwa aridhie
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom