Mshana Jr na wenzake

mkuu usibabaike na typing zao hapa jamvini wana C&P from Google niwatupu balaaa......
 
Mshana Jr atawaroga wote hao watakua wanawake atawaoa alafu atajaribu kuwapa mimba..

Mzizi mkavu
Γ takua bimkubwa + uzee mimba haitaingia

@lifecoaded
atashika ujauzito na atajaribu kuitoa hiyo mimba

Zurri
atakua na wivu sana atakula sana udongo

Kiranga
mimba itaingia ila kwa kubakwa na hivi mshana ana manguvu

The bold
huyu mimba itaharibika ikiwa na miezi6

Rakims
atajifungua katoto kaa ajabu kanatisha na atampa limbwata mshana

pasco mimba itaharibika kwa sababu ya umbea umbea

Bora wasikae karibu kwa sababu wakikaa karibu watatokeza kitu cha ajabu kwani uwezo wao wa kufikiri ni mkubwa sana..
Hata kama wana google amini uwezo wao wa kufikiria ni mkubwa mno,
Kwa uwingi tuna access ya kuingia google mbona hatuyaleti hayo mambo humu,tunaona aibu kwa sababu tunagoogle udaku..
 
Huyo pasco si ndo yule mlamba miguu wa jiwe anaesubiri teuzi muda mrefu?
 
ha ha ha
 
HUU UZI NDO UNAGUNDUA JAMIIFORUMS INA VILAZA SUGU. HAO ULIOWATAJA WANA NINI AMBACHO WAMEGUNDUA ZAIDI YA KUONGELEA ISSUES AMBAZO WENYE AKILI WALISHAZIONGEA HAWA WANAKUJA KUTAFSIRI HUMU? au habari za kichawi?

MSIKUMBATIE SANA UKILAZA.
 
HUU UZI NDO UNAGUNDUA JAMIIFORUMS INA VILAZA SUGU. HAO ULIOWATAJA WANA NINI AMBACHO WAMEGUNDUA ZAIDI YA KUONGELEA ISSUES AMBAZO WENYE AKILI WALISHAZIONGEA HAWA WANAKUJA KUTAFSIRI HUMU? au habari za kichawi?

MSIKUMBATIE SANA UKILAZA.
Heri hao vilaza kuliko wanajua then wamekaa kimya.
 

Hahaaaaa
 
HUU UZI NDO UNAGUNDUA JAMIIFORUMS INA VILAZA SUGU. HAO ULIOWATAJA WANA NINI AMBACHO WAMEGUNDUA ZAIDI YA KUONGELEA ISSUES AMBAZO WENYE AKILI WALISHAZIONGEA HAWA WANAKUJA KUTAFSIRI HUMU? au habari za kichawi?

MSIKUMBATIE SANA UKILAZA.
Nini kinakuuma mkuu ili utibiwe??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…