Mshaharaaaaaaaaaa

Mshaharaaaaaaaaaa

Nyundo_tz

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2009
Posts
640
Reaction score
21
Mambo ya mshahara kutokupanda kwa kukidhi VS bei ya mafuta, sukari etc
 

Attachments

  • 308746_2425868699085_1622552476_2322547_1822092286_n.jpg
    308746_2425868699085_1622552476_2322547_1822092286_n.jpg
    69.1 KB · Views: 297
Niliiona hii nikaona itakuwa nzuri ku-share
 
Duh, yaani kimshahara kimeshadumaa, cjui kama kitaongezeka urefu...))
 
Thanks. umeimaliza ijumaa kwangu kwa kicheko. Huyo salary kila anavyokuwa, hawezi ku-compete na wenzake ndo maana kila siku anabakia mdogo.
 
hahahahahaaa!!!
machizi wanakaangalia ka salary wanakacheka!!
 
Mshaara tung'oe mizizi ya rushwa kanaweza kakachipua.
 
hahahahah haka jamaa lazima katakuwa ka eskimo kakule kongo dah ona vimacho vyake kama fisadi naniluu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom