jino kwa jino
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 783
- 170
wana jf naomba kujua hawa jamaa wanalipa sh ngapi kwa hizi kazi za data entry zimeanza mwezi wa kwanza 2012
wana jf naomba kujua hawa jamaa wanalipa sh ngapi kwa hizi kazi za data entry zimeanza mwezi wa kwanza 2012
Ulipokuwa unaajiriwa hukujuwa mshahara wako utakuwa kiasi gani? Mbona unataka kusumbua watu humu Jf. Hebu ficha upumbavu wako
wana jf naomba kujua hawa jamaa wanalipa sh ngapi kwa hizi kazi za data entry zimeanza mwezi wa kwanza 2012
400,000
nashukuru mkuu dadavua vizuri maana kaambiwa wanalipwa kutokana na kazi (form atakazi ingiza knye systeem/computer)
zi kupewa kazi hapo na hata kama wamekupa yaani humalizi wiki mbili.Mhahara ndo nini? unaandika as if unaogea nje bana...tulia !!! halafu mnaaanza kulalama oooh HR ananitaka kanifukuza kazi kuandika kwenyewe hujui ..Mhahara? lol
there is no specific salary; ni juhudi zako, idadi ya fomu utakazo fanikisha kuingiza kwenye computer ndiyo ita determine salary yako.
mkuu mbona inasomeka vizuri au leo umeamkia calabash
mkuu ndio nilitaka kujua wanalipaje kwa form!
Mshahara ni laki 4 + kidogo. Vp huyo dogo aliomba lini, maana hata mi nilipeleka application sio cku nyingi Mlinzi akutuambia interview ilikuwa jana yake na wanategemea kuchukua tena mwezi wa nne. Nahic washanimwaga, maana nilipeleka tu bila memo.hapana mkuu, kuna dogo kapata yuko mwanza wamempigia simu ila hawajamwambia mshahara
na sasa anafanya biashara(ndogo ndogo) mwanza anataka kujua alinganishe faida ya biashara zake na huo mshahaea wa nida ajue kama apande basi aje au lah