Sonnabend Pediatric AIDS Foundation (SPAF)

Mar 1, 2024
1
1
Habari za muda huu wakuu?

Samahani bwana, hivi Kuna mtu yeyote anaufahamu mradi unaohusika na maswala ya Ukimwi unaosimamiwa na Sonnabend NGO?
..
Wamemwaga ajira nyingi sana zenye mshahara mnono kuanzia Dola 2500 hadi 3500 kwa Mwezi. Sasa changamoto yake ni kwamba ,

Mimi nimeapply ila nimeshindwa kusubmit Staff Entry Form kwasababu, Wanataka niambatanishe na Psychometric assessment Report na wameattach link WHY PAR? – ICPD Africa ya Taasisi inayojihusisha na utoaji wa hizo Assessment.

Hizo Psychometric Report zenyewe zinalipiwa kuanzia Dola 50 na kuendelea, na submission ni kesho tarehe 2 March 2024.

Je, kuna mwenye experience ya kufanya kazi na hawa watu, na je huo ndiyo utaratibu wanaoutumia siku zote kwenye recruitment?

Screenshot_20240301-153040_Chrome.jpg
Screenshot_20240301-153052_Chrome.jpg
 
Mtego huo ndugu. Utapigwa mchana kweupee
 

Attachments

  • Screenshot_2024-03-01-17-05-06-135_com.google.android.gm.jpg
    Screenshot_2024-03-01-17-05-06-135_com.google.android.gm.jpg
    660.9 KB · Views: 13
mimi pia nipo kwenye huo mtego. maelezo yako ni kama yangu. sasa kilichonishtua ni hiyo recommendation ya invigilator, wametoa link mbili za invigilator, lakini ni the same invigilator with two different links leading to the same website. lol! that caught my attention and i was like.. naaah! hata kama nipo too desperate finding a job, lakini this is definitely a scam.
 
Habari za muda huu wakuu?

Samahani bwana, hivi Kuna mtu yeyote anaufahamu mradi unaohusika na maswala ya Ukimwi unaosimamiwa na Sonnabend NGO?
..
Wamemwaga ajira nyingi sana zenye mshahara mnono kuanzia Dola 2500 hadi 3500 kwa Mwezi. Sasa changamoto yake ni kwamba ,

Mimi nimeapply ila nimeshindwa kusubmit Staff Entry Form kwasababu, Wanataka niambatanishe na Psychometric assessment Report na wameattach link WHY PAR? – ICPD Africa ya Taasisi inayojihusisha na utoaji wa hizo Assessment.

Hizo Psychometric Report zenyewe zinalipiwa kuanzia Dola 50 na kuendelea, na submission ni kesho tarehe 2 March 2024.

Je, kuna mwenye experience ya kufanya kazi na hawa watu, na je huo ndiyo utaratibu wanaoutumia siku zote kwenye recruitment?

View attachment 2921460View attachment 2921461
Kwamba utalipwa 7mvijana mnatapeliwa sana
 
mimi pia nipo kwenye huo mtego. maelezo yako ni kama yangu. sasa kilichonishtua ni hiyo recommendation ya invigilator, wametoa link mbili za invigilator, lakini ni the same invigilator with two different links leading to the same website. lol! that caught my attention and i was like.. naaah! hata kama nipo too desperate finding a job, lakini this is definitely a scam.
Mbona umetumia njia complex sana kugundua ni matapeli? Hii kitu ukisoma hilo tangazo hata kabla hujafika katikati unatambua kabisa huu ni utapeli.
 
Back
Top Bottom