Justine Daniel
Member
- Jun 18, 2023
- 23
- 16
Habari wana JF,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24.
Elimu: Bachelor Degree in Official Statistics.
Utaalam: Nina uzoefu wa kufanya;
1. Data entry
2. Data collection
3. Data management
4. Data storage
5. Data analysis
6. Project planning
7. Management, monitoring
And evaluation.
Katika ufanyaji wa kazi ninauwezo wa kutumia software kama vile:
1. Excel
2. Stata
3. Spss
4. R programming.
Kama kuna mtu/ kampuni linahitaji mtaalamu mwenye sifa tajwa hapo juu asisite / lisisite kunitafuta kwa simu
0654629098
Eneo la kazi liwe ni Dar es Salaam, kama ni nje ya Dar es Salaam usisite pia. Nipo tayari kufanya kazi kwa moyo wote kwani ni taaluma yangu ninayoipenda sana.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24.
Elimu: Bachelor Degree in Official Statistics.
Utaalam: Nina uzoefu wa kufanya;
1. Data entry
2. Data collection
3. Data management
4. Data storage
5. Data analysis
6. Project planning
7. Management, monitoring
And evaluation.
Katika ufanyaji wa kazi ninauwezo wa kutumia software kama vile:
1. Excel
2. Stata
3. Spss
4. R programming.
Kama kuna mtu/ kampuni linahitaji mtaalamu mwenye sifa tajwa hapo juu asisite / lisisite kunitafuta kwa simu
0654629098
Eneo la kazi liwe ni Dar es Salaam, kama ni nje ya Dar es Salaam usisite pia. Nipo tayari kufanya kazi kwa moyo wote kwani ni taaluma yangu ninayoipenda sana.