Mshahara wangu umekuja pungufu

Mshahara wangu umekuja pungufu

Mbona mimi mshahara wote umeingia!!? Unejuaje ni serikali ndo imekata,je umeenda na kuchukua bank statement, salary slip na nakama sivyo si uwasiliane na afisa utumishi wako akueleze hayo makato yametokana na nini?
 
Hii serikali inachofanya sio fair kabsaaa kukata mshahara wa mtumishi efu 20000 ni hela nying saanaa waache kutuonea kabsaaa increment hakuna tumeridhika afu unaamka unakata 20 kama sio uonevu tu
Pole mkuu ila subiri salary slip itoke kama hamna maelezo ya iyo pesa ndo ulalamike, na pia uende bank uangalie statement nadhan utapata jibu sahihi
 
Kuwa mpole! Tumekata kwa ajili ya vile vishkwambi tulivyo wagawia mwezi hui. Kama hujapata cha kwako, basi ni bahati mbaya sana. Wenzako watakuwakilisha.
Safi na wasikie sio kulilia vishikwambi alafu hawataki tukate malipo ya usafirishaji wa hivyo vishikwambi

Mpo akina Sir.Kishikwambi na Madam Kishikwambi?
 
Hii serikali inachofanya sio fair kabisa kukata mshahara wa mtumishi elfu 20,000 ni hela nyingi sana waache kutuonea kabisa increment hakuna tumeridhika halafu unaamka unakata 20 kama sio uonevu tu.
Ivi kwanini Wwngine wapate Mshahara wenginebado mpk muda huu.
Nimempigia dogo yeye yupo Halmashaur Xxx mkoa Xxx yeye kashapata Salary lakn mm ambaye nipo Mkoa Bbb Tena Taasisis Bbb
Mshahara mpk saiz kimyaaa
Jaman hii imekaaje[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Back
Top Bottom