Mpalisya Imbogo
Member
- Nov 16, 2009
- 53
- 9
Pathetic!
Kwa hiyo unakubali kuwa Siasa ndio fani inayolipa?
No wonder we are still poor after 50 yrs
Bajeti ya wanasiasa haikosekani
Bajeti ya madokta hakuna
Bajeti ya wahandisi hakuna
Bajeti ya askari hakuna
Bajeti ya utafiti na sayansi hakuna
Bajeti ya elimu hakuna
Bajeti ya afya hakuna
Ya TISS ili kulinda wanasiasa ipo
Ya magari ya washawasha ipo
Ya wanasiasa hadi inafurika
Kwa nini tusiwe masikini??
hapa unapotosha ndugu, net take home ni 660,000 na sio 550,000/
Kiresua nakubaliana na wewe,humu ndani kuna waongo kibao.Mimi niko idara hiyo ya afya mshahara wangu ni 957,700,hapo baada ya makato yote take home ni 660,000 na sio 550,000.
Kwa kweli mshahara tunaodai ni mkubwa mno ndio maana inakuwa kama vile tunatafuta utajiri na sio huduma kwa umma.SIUNGI MKONO MAUAJI YA WATANZANIA KUTOKANA NA MGOMO.Tunatakiwa kudai kitu reasonable.
Mkuu, Mshahara wa sh 955,000/- ikishakatwa PPF na PAYE inabaki Sh. 720,000/- na sio Laki tano na nusu.
Kimsingi sikubaliani na Mbunge kulipwa 10,000,000/- kwa wiki4 alafu daktari analipwa asilimia 10% ya mshahara wa mbunge.
Hakuna ugomvi wowote muajiri wako hana uwezo wa kukulipa huo mshahara unaoutaka...kwa hiyo mkilipwa 7,700,000 nchi ndio itakuwa tajiri? Hamna lolote eti mnasema mnawatetea wanyonge wakati kwenye madai 12 dai 1 tu ndio mmeomba vifaa vya kufanyia kazi madai yote 11 maslahi yenu binafsi...nendeni Ulaya au Amerika nasikia wanalipa vizuri.
10,000,000 za Wabunge zinatoka wapi?
rais wa tano dhaifu[h=6]Hana sababu ya kugoma ili ashinikize kulipwa mshahara huo. Asisumbuke, hatalipwa mshahara huo. Isitoshe, hana sababu ya kuendelea kuwa na mgogoro na mwajiri ambaye hana uwezo wa kumlipa anachokitaka. Huna sababu ya kumpa usumbufu mwajiri wa kukuandikia barua ya kujieleza au kukuachisha kazi. Kwa nini upate usumbufu wa kupata barua hizo na kuzijibu. Kwa nini upate usumbufu wa kuachishwa kazi na kutakiwa kuondoka kwenye nyumba ya Serikali ndani ya saa 24. Jiepushe na yote hayo kwa kujiondoa mwenyewe. Usipofanya hivyo, mwajiri anakuwa hana jinsi bali kukuondoa kazini[/h]
kama wanataka kulipwa m 3.5 waanze kujilipa hayo masomo yao.....eti mazingira hatarishi sie mbona tunafanya kazi kwenye mzingira ya black mamba(koboko )...,hatujalalamika?? Nyoka akikugonga unakufa within 20 minites.....spidi yake 20 km per hr....urefu ft 14...lakini tunapiga tu kazi za serikali.....wakatafute mwajiri atakayeweza kuwalipa mshahara huo...hawana sababu ta kugoma...hilo swala kuboresha huduma za afya mbona ni la 12 kwenye orodha kama kweli ni wazalendo.......wasituzingue....jwanza wako shallow tu......
Wamelupiwa na serikali hizo shule .matatizo ya elimu ya bure
Si Ameshasema waende huko kwenye mishara ya mamillioni sasa tabu ikwapi hapa?HUYO NI DAKTARI AU NURSE....JAMANI SERIKALI IACHE UTANI.
Supervisor wa hoteli, mwenye elimu ya kidato cha sita au Co-ordinator analipwa zaidi ya hiyo hela 750,000/=-1,500,000/= kwa mwezi, analipwa malipo ya huduma (service charge), hii ni kutegemeana na uzo au pato la mwezi la kampuni husika na asilimia walizokubaliana.
:A S-confused1:
Dr. mi nadhani na nyie mtoe tamko la kukanusha madai ya Rais, Watanzania watawaelewa tu. Mkanushe yote kua hata hiyo M 7 wala haikua lengo lenu ifike hapoTatizo waTanzania mnapenda sana kudanganywa na hamtaki kutumia hata chembe ya ubongo wenu kuchambua ukweli na uwongo. Ni juzi tu HELSB wametangaza kuchukulia hatua za kisheria watu waliopewa mkopo wa elimu ya juu na hawalipi..katika ile list kuna maDaktari zaidi ya 500 wanadaiwa...mimi huu ni mwaka wa 4 nakatwa kila mwezi Tshs 57,000/= kulipia mkopo wangu wa elimu ya juu (uDaktari).....halafu Rais anatangaza bila ya aibu kwenye televeision ya Taifa kuwa tumesoma bure?! Tunalipa kwa nini sasa kama tulisomeshwa bure?!