Mshahara wa PGSS 12

Mshahara wa PGSS 12

Wakuu naomba kufahamu scale za sasa PGSS 10, 11 na 12

Muungwana Freedom... kiwango cha kuanzia unapoajiriwa kwa MARA YA KWANZA NI KAMA IFUATAVYO:

PGSS 10 = 892,000 PGSS 11= 1,017,000 PGSS 12= 1,159,000

Hii ni kabla ya kodi na michango mingine ya bima na mifuko ya jamiii kukatwa.
[TABLE="width: 98"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="width: 98"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Wewe mbona unapigia tu 10%? Kwanza hiyo 10% ni ya nini? Hujui kupiga hesabu za mishahara wewe!! Tafuta jedwali la PAYE toka TRA, halafu kumbuka kuna social security ambayo nayo mwajira anachangia kutegemea na mfuko husika. Sasa ukitoa vyote hivyo lazima itashuka. Hivyo wewe utakuwa umechemka vibaya sana na yule ndugu alyesema 1.1mil take home anaweza kuwa yuko sahihi!

Usidandie train kwa mbele!!!
hiyo 10% ni security contribution ,bado kuna kodi ambayo ni 12%,kuna michango ya uanachama pia.
 
Its impossible kuwa 1.6mill alafu upate 1.1 take home. Fanya 1.6mill 10% yake ni laki 1 na elfu 60 toa 1.6mill inakuwa 1.46 mill ndio take home.

Kilaza mkubwa wewe unajua maana ya PAYE....au uliambiwa kodi ni 10%.
 
Muungwana Freedom... kiwango cha kuanzia unapoajiriwa kwa MARA YA KWANZA NI KAMA IFUATAVYO:

PGSS 10 = 892,000 PGSS 11= 1,017,000 PGSS 12= 1,159,000

Hii ni kabla ya kodi na michango mingine ya bima na mifuko ya jamiii kukatwa.

[TABLE="width: 98"]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Asante sana mkuu
 
Back
Top Bottom