Wakuu salam, naomba kujua mshahara wa PGSS 12 ni kiasi gani cha pesa..
Sasa ivi imeongezeka ni 1.6mil,kuanzia July 2012. Hongera bhana!
Wakuu salam, naomba kujua mshahara wa PGSS 12 ni kiasi gani cha pesa..
Acha uongo wewe, mbona unamdanganya mwenzio kama jambo hulijui kaa kimya mkuu. Hiyo 1.6 Million ni PGSS 15 na take home ni kama 1.1 Mil, So you can imagine if Pgss 15 ni hiyo 1.6 Mil, then Pgss 12 itakua below that au above that rate? and how much will be take home rate??
Its impossible kuwa 1.6mill alafu upate 1.1 take home. Fanya 1.6mill 10% yake ni laki 1 na elfu 60 toa 1.6mill inakuwa 1.46 mill ndio take home.
Its impossible kuwa 1.6mill alafu upate 1.1 take home. Fanya 1.6mill 10% yake ni laki 1 na elfu 60 toa 1.6mill inakuwa 1.46 mill ndio take home.
Its impossible kuwa 1.6mill alafu upate 1.1 take home. Fanya 1.6mill 10% yake ni laki 1 na elfu 60 toa 1.6mill inakuwa 1.46 mill ndio take home.