Mshahara wa mwezi wa 10 umetoka?

Mshahara wa mwezi wa 10 umetoka?

Watumishi tafuteni other sources of income..muache kulialia hovyo.

#MaendeleoHayanaChama.
 
Watumishi tafuteni other sources of income..muache kulialia hovyo.

#MaendeleoHayanaChama.
Roho ya kichawi mbaya sana.
Hivi Mangi akidai deni lake ni kosa?
Kama si kosa iweje watumishi ndio tuonekane tuna makosa kuulizia salary?
Haijalishi tuna vyanzo vingapi vya mapato bado mshahara utaendelea kuwa mtamu mpaka tutakapamua kuacha kazi au kustaafu
 
Mshahara wenyewe una vidonda tumekopa kila benki bado mtaani vimeo kila mahari.

Tupeane taarifa ukitoka tu huu mshahara ili tupunguze ukali huu wa maisha tukalipe vimeo vya watu tukope tena maisha yaendelee.
Mbona hata ule wa mwezi wa 11 tayari? Wewe uko wapi?
 
Kuna wakati mtu hukuwa na mshahara maisha yakasonga,sasa hivi una kipato ila kikiingia tu,tareh 10 chaliii.

"Hayo ni mambo ya kitaaramu sana mwanangu". Wanaita consume as you earn.
Lakini kwasasa milo mitatu anapata, analala pazuri na anavaa vizuri!
 
tutaweka mkiwa kanisani kwenye mkesha,muwe makini na simu zenu siku ya tarehe 24 hasa saa 11-12 usiku.
 
BFC336E3-B3D5-4445-B3B4-255B492D31AA.jpeg
 
Back
Top Bottom