Fafanua mkuuTembo k a n y a
Tembo= 🏦,kanya =💰Fafanua mkuu
Mchango WA harusi.Mshahara au posho?
MhhTembo= 🏦,kanya =💰
hao toka tar 22 mzigo teyari walishaekewaNMB ishatema tayar
we acha tuMshahara wenyewe una vidonda tumekopa kila benki bado mtaani vimeo kila mahari.
Tupeane taarifa ukitoka tu huu mshahara ili tupunguze ukali huu wa maisha tukalipe vimeo vya watu tukope tena maisha yaendelee.
😆😆😆Tumezoea mshua alikua anatoa 19th. Mazeri anataka atoe mzigo 24 usiku nini?
Ndio hivo mkuu. Mzigo utoke mapema.
Wanaosubili hawana hela hao wengi zinaishia kwenye madeniBora mnaosubiri