Mshahara wa Mrisho Ngasa KUFURU!

mkuu Rejao hata mi nashangaa wanavyomshangaa kwa kupokea mil. 6..... mbona pesa kidogo ukilinganisha na mishahara ya vijana wengi humu nchini???... labda afafanue huo ukufuru kwa maana ipi???

Watu wanajiandikia tu bila kujua matumizi ya maneno
 

Waulize kama wana mfanyakazi wa ndani wanamlipa shilingi ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…