laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,731
Mbunge mshahara wake haukatwi kodi
mshahara wa mbunge ni milioni 30, tena haukatwi kodi
Mbunge mshahara wake haukatwi kodi
mshenzi, kama hujui si utulie. Halafu ww jamaa unafanya kaz kweli maan kila nikifungua jf nakutana na coments zako tu tena za hovyohovyo tu! Nan anakulisha wewe?
12ml na hazikatwi chochote ni cash in hand
Dadeeeeeeekiiiii za nn zote? ? Kwa kazi ipi wanayofanya...kusinzia na kujibu ndio..? Au ndio pesa za majimbo zipo humu humu
nalishwa na mke wako ,, mimi ni niko ambae niko, kama hupendi comment zangu jinyonge.. Kwa taarifa yako niko Marekani Miami Beach
ndio maana wanauana na kupigana sana kwenye kampeni.
mshenzi, kama hujui si utulie. Halafu ww jamaa unafanya kaz kweli maan kila nikifungua jf nakutana na coments zako tu tena za hovyohovyo tu! Nan anakulisha wewe?
nalishwa na mke wako ,, mimi ni niko ambae niko, kama hupendi comment zangu jinyonge.. Kwa taarifa yako niko Marekani Miami Beach