Mshahara wa loan officer CRDB

Mshahara wa loan officer CRDB

Ntangilege

Member
Joined
Aug 4, 2013
Posts
25
Reaction score
3
Hellow wana jamiiforums

Samahani naombeni anaefaham mshahara wa loan officer (home taking) CRDB kwa degree
 
hilo ni kosa, sawa. lakini sio kigezo cha kutokujibu swali la msingi. kwa mwenendo huu jf inapoteza mwelekeo.
 
Basic Salary kwa first appointment ni 1,235,000/= na baada ya makato yote (take home) ni kama 961,000/= hii ni kwa mujibu wa mtu wangu wa karibu ambaye ameajiliwa mwezi March mwaka huu.
 
Those who work for money will be financially struggling for their entire life.............
 
Those who work for money will be financially struggling for their entire life.............

Acha unafiki, hapa tunasema ukweli! kama unafanya kazi halafu unashindwa kutimiza malengo yako, ni sawa na ulikuwa unamsaidia mwajiri kutimiza malengo yake, bila kuangalia ya kwako.
Utatimizaje ya kwako ka unalipwa kiduchu, ilhali gharama za maisha zipo juu, input yako ni kubwa na output yako inaonekana?
 
Just read poor dad rich dad,however jamii imekuwa amount driven,ndiyo kwanza mtu amegraduate,experience hana yet anatafuta kulipwa kiasi kikubwa sana,with this mind set tutasubiri sana kupata ajira,zaidi yu heri sana afikiriaye kujiajiri..............
 
Hivi kwani Degree ndio nini,yaani mtu mwenye akili timamu haswaa unaweza kulinganisha Mshahara na Elim?
Mfaham kwanza mitaani mpo kibao hamna issue,na kila siku vyuo vinawamwaga mitaani.
Matumizi ya Pesa ni akili yako,watu wanalipwa Laki mbili kwa mwezi na wanafanya yao.Na wapo watu wanalipwa hadi milioni tano lakini wakiachishwa kazi hawana hata moja.
Huu ndio ujinga wanafunzi wa vyuo wanaotoja nao vyoni kuja mitaani,yaani wao wanawaza pesa tuu.Mngeenda kuona jinsi Veta inavyotoa vijana wa kuanzia Darasa la Saba na baada ya mafunzo yao wakitoka pale ni habari nyingine kabisa.Muda kama wa miaka miwili hadi mitatu na wao wanaajiri na kuwa vizuri kimaisha.
Wanachuo Mtaandamana sana kwa halii,kisa ajira,kumbe tamaa
 
Basic Salary kwa first appointment ni 1,235,000/= na baada ya makato yote (take home) ni kama 961,000/= hii ni kwa mujibu wa mtu wangu wa karibu ambaye ameajiliwa mwezi March mwaka huu.

Mh! Calculation zako ni sahihi kweli! Coz kwa basic ya 1,235,000 take home ni 890,250.
 
Hivi kwani Degree ndio nini,yaani mtu mwenye akili timamu haswaa unaweza kulinganisha Mshahara na Elim?
Mfaham kwanza mitaani mpo kibao hamna issue,na kila siku vyuo vinawamwaga mitaani.
Matumizi ya Pesa ni akili yako,watu wanalipwa Laki mbili kwa mwezi na wanafanya yao.Na wapo watu wanalipwa hadi milioni tano lakini wakiachishwa kazi hawana hata moja.
Huu ndio ujinga wanafunzi wa vyuo wanaotoja nao vyoni kuja mitaani,yaani wao wanawaza pesa tuu.Mngeenda kuona jinsi Veta inavyotoa vijana wa kuanzia Darasa la Saba na baada ya mafunzo yao wakitoka pale ni habari nyingine kabisa.Muda kama wa miaka miwili hadi mitatu na wao wanaajiri na kuwa vizuri kimaisha.
Wanachuo Mtaandamana sana kwa halii,kisa ajira,kumbe tamaa

Umenena vema. Nakumbuka nilipograduate niliomuomba Mungu anipe ajira halali hata mshahara mdogo ila niwe na kipato changu mimi kama mimi. Bila kumtegemea mtu. I was so humble kwakweli nadhani hata ningepata ajira ya laki moja ningefanya ila sasa nilipopata nalipwa zaidi ya million mbili. Mungu huwapenda wanyenyekevu. Mimi sikuuliza ntalipwa sh ngapi? Vijana tubadilike. Pesa ni matokeo.
 
Vijana wenzangu nawashauri mjaribu kufikiri nje ya box bz msharaha cyo issue ya maana ki-hivyo. Mimi niliajiriwa sikuja mshahara wangu utakua ni Tsh ngapi ila nilijua kua jamaa wamenikubali na wamependa utendaji wangu nipop kwenye agency ya serikali na napiga karibu 2ml
 
haya majukwaa watu wanajibu kwa jaziba sana... Sijui kama kweli mnamjenga mtu au kikundi cha watu. Kiukweli hii tabia sipendi
 
Naam mkuu zanzibar tunahitaji watu kama nyie kwani wanafunzi tunahitaji kujitegemea-naam wengine hatujawahi kuajiriwa lakini tunalima ba tunavuna/tunafuga mifugo&ukituona tupo ok tena naam mimi mwenyewe naingiza pesa ndefu/vijana tuache uvivu laah sivyo maandamano hayataisha kamweeeeeeeeeeeeeeeeee....
Tuipende nchi kwa kufanya kazi kwa bidiii zaidi &kuweka chachu ya maendeleo......
 
Basic Salary kwa first appointment ni 1,235,000/= na baada ya makato yote (take home) ni kama 961,000/= hii ni kwa mujibu wa mtu wangu wa karibu ambaye ameajiliwa mwezi March mwaka huu.

Take home inakuja kuwa 961,000???????
 
Back
Top Bottom