Naona picha linaendelea
Marekani IPO hivi!!! Ukiwa mzuri kuliko watu wote duniani wewe ni fursa! Ukiwa na akili nyingi sana ikathibitika hivyo wall street is your home, Ukiwa mbaya kuliko wote, ukiwa kituko, ukiwa mrefu kuliko wote, mfupi, mnene,mweusi, ukiwa na Tabia ya kipekee au kipaji cha kipekee alimradi tu unaweza kudraw attention ya watu wengi America is your Home.
Ninasuspect kuna tajiri mmoja au taasisi fulani baada tu ya kumaliza kumsimamishia mshashara ndg TAL itatangaza au atatangaza kumlipa mshahara maisha take yote hadi anakufa!
Kuna version nyingi sana za ushauri unaoendelea kila uchwao lkn sijaona critical thinking yyt inayomdhibiti TL zaidi ya mahangaiko tu na kujidharaulisha.
Bunge! Whyyyyyyyyyyy now ndio mnataka kumsitishia mshahara kwanini sasa! Mtu amekaa mwaka na nusu huko???? Hoja anazowatesa nazo mnampa nyie wenyewee
Daaa my country!!!!
Marekani IPO hivi!!! Ukiwa mzuri kuliko watu wote duniani wewe ni fursa! Ukiwa na akili nyingi sana ikathibitika hivyo wall street is your home, Ukiwa mbaya kuliko wote, ukiwa kituko, ukiwa mrefu kuliko wote, mfupi, mnene,mweusi, ukiwa na Tabia ya kipekee au kipaji cha kipekee alimradi tu unaweza kudraw attention ya watu wengi America is your Home.
Ninasuspect kuna tajiri mmoja au taasisi fulani baada tu ya kumaliza kumsimamishia mshashara ndg TAL itatangaza au atatangaza kumlipa mshahara maisha take yote hadi anakufa!
Kuna version nyingi sana za ushauri unaoendelea kila uchwao lkn sijaona critical thinking yyt inayomdhibiti TL zaidi ya mahangaiko tu na kujidharaulisha.
Bunge! Whyyyyyyyyyyy now ndio mnataka kumsitishia mshahara kwanini sasa! Mtu amekaa mwaka na nusu huko???? Hoja anazowatesa nazo mnampa nyie wenyewee
Daaa my country!!!!