Mshahara wa Lissu; Kuna tajiri mmoja duniani ataingia kwenye historia

...
Mimi ni mkristo. Hii nailinganisha na historia ya Bwana Yesu Kristo. Alipitia njia hii hii bila kujua kuwa yeye ndiye mmiliki wa vyote...
... nikuerekebishe hapo red; hiyo italeta shida; itampa adui nafasi! Maisha yake yote akiwa duniani Yesu alijua yeye ni Mungu hivyo ndiye mmiliki wa vyote.

"Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani. Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari."; Mt. 28:18-20

Anyway, unaweza ku-argue mstari huo ni baada ya kufufuka kutoka wafu hivyo kwa vyoyote wakati huo alisharudi katika uungu wake. Ile sala maarufu ya Yesu katika Yohana 17 ambayo alisali kabla ya kuteswa kwake imeeleza mengi aliyoyajua katika "ubinadamu" wake. Mfano, "Nimelifunua jina lako kwa watu ulionipa kutoka ulimwenguni. Walikuwa wako, nawe ukanipa, nao wamelishika neno lako." Yoh 17:6
 
Najaribu kufikiria tuu sijui serikali inamfikiriaje tundu na hatma yake! Wataruhusu atekeleze aliyo kusudia hususan kugombea urais???
 
Kuna jamaawetu mmoja kawathibitishia hili kuwa tuliwalipa na kuwaahidi kugombea tena. Tusiwabeze sana wapinzani
 
Kuna wakati katika maisha suluhisho kuu linakuwa ni pesa na wazo hilo sana tunalo sisi watu wa nchi za daraja la tatu. Ila kuna maeneo na pengine situation za maisha pesa inakuwa sio hadithi tena kikubwa ni content.

Huko alipo TL kwasasa wanaendelea kumfanyia assessment wakiona anawafaa huo mshahara mnaotaka kuufuta ufuteni tu kwao sio ishu. Wanaweza kumpa mshahara mkubwa zaidi wa huo.

Lakini tuwe tayari kwa matokeo
 
Utaanzaa kuumia wewe, unaelipwa kwa ajili ya upumbavu ulioandika. Kumbe unaogopa kufa, ila alichofanyiwa Mh TL uliona kinafaa. Acha kulalama vita haichagui mtu, acha ije na sisi tuko tayari kwa lolote.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mpumbavu wa hedi wewe usie jua kuwa kosa ulilofanyiwa ima kutendewa halioneshwi kwa wewe kufanya kosa la uhaini. Mpumbavu wa hedi. TL kajihalalishia uhaini kwa ujinga wake wa kupenda fedha baada ya kuonja zile za mabadiliko.
 
Naona picha linaendelea
Marekani IPO hivi!!! Ukiwa mzuri kuliko watu wote duniani wewe ni fursa! Ukiwa na akili nyingi sana ikathibitika hivyo wall street is your home, Ukiwa mbaya kuliko wote, ukiwa kituko, ukiwa mrefu kuliko wote, mfupi, mnene,mweusi, ukiwa na Tabia ya kipekee au kipaji cha kipekee alimradi tu unaweza kudraw attention ya watu wengi America is your Home.

Ninasuspect kuna tajiri mmoja au taasisi fulani baada tu ya kumaliza kumsimamishia mshashara ndg TAL itatangaza au atatangaza kumlipa mshahara maisha take yote hadi anakufa!

Kuna version nyingi sana za ushauri unaoendelea kila uchwao lkn sijaona critical thinking yyt inayomdhibiti TL zaidi ya mahangaiko tu na kujidharaulisha.

Bunge! Whyyyyyyyyyyy now ndio mnataka kumsitishia mshahara kwanini sasa! Mtu amekaa mwaka na nusu huko???? Hoja anazowatesa nazo mnampa nyie wenyewee

Daaa my country!!!!
Matamko na chuki huwa haviisaidii kwenye Jamii zetu. Uongozi ni dhamana wakati pia ukuta vyote hivi huenda sambamba
 
wala hakuna haja ya tajiri mzungu; sisi tu tukiwa 50,000 Tanzania nzima tukatoa jejo jero tu kwa kila mwezi piga hesabu hapo.

Tena wanachelewa kutupatika Mpesa etc tuanze kirushamo.
 
Ndio alipwe na hao hao waume zake sisi kodi yetu ifanye mambo mengine

Sent using Jamii Forums mobile app

Tatizo litakuja endapo walipa kodi wa Tz wakianza nao kuchangia kwa sababu wanazozijua wao. Itazimwa hoja ya usaliti wa nchi sababu kama wasalitiwa wakimchangia itatafsiriwa vipi?

Kwanini asipuuzwe tu? Azunguke, aonge halafu akishamaliza atarudi yumbani. Mbona yule wa zanziber alizunguka pia na akarudi?
 
Naona picha linaendelea
Marekani IPO hivi!!! Ukiwa mzuri kuliko watu wote duniani wewe ni fursa! Ukiwa na akili nyingi sana ikathibitika hivyo wall street is your home, Ukiwa mbaya kuliko wote, ukiwa kituko, ukiwa mrefu kuliko wote, mfupi, mnene,mweusi, ukiwa na Tabia ya kipekee au kipaji cha kipekee alimradi tu unaweza kudraw attention ya watu wengi America is your Home.

Ninasuspect kuna tajiri mmoja au taasisi fulani baada tu ya kumaliza kumsimamishia mshashara ndg TAL itatangaza au atatangaza kumlipa mshahara maisha take yote hadi anakufa!

Kuna version nyingi sana za ushauri unaoendelea kila uchwao lkn sijaona critical thinking yyt inayomdhibiti TL zaidi ya mahangaiko tu na kujidharaulisha.

Bunge! Whyyyyyyyyyyy now ndio mnataka kumsitishia mshahara kwanini sasa! Mtu amekaa mwaka na nusu huko???? Hoja anazowatesa nazo mnampa nyie wenyewee

Daaa my country!!!!
Yule ni mwakilishi wa wananchi wa jimbo moja kule Singida. Kama kapona kabisa ana kila sababu ya kupanda ndege na kurudi kuwatumikia watu waliosimama juani kumpigia kura.
 
Kusitisha mshahara wa Tundu Lissu ndiyo atakuwa tajiri wa kutupwa. Kwanza hao mabeberu tajiri mmoja anaweza kujitolea kumlipia mshahara wake na marupurupu mengine maishani mwake. Pili hata leo wakianzisha michango kwa ajili ya kusitisha mishahara yake atapata mabilioni. Hapa watu wengi watatoa kwa ajili ya kumwonea HURUMA. Mimi nashauri Serikali iachane wazo hilo, mshahara wake ni kitu kidogo sana kwa Serikali.
 
Back
Top Bottom