Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Wapendwa naomba kujulishwa mshahara wa Hakimu mwenye LL.B !shukrani kwa ushirikiano
duh itakuwa kazi haki kupatikana ni after makoto au ndo mwanzo?250000tsh.
You are definitely not serious. Hapo unataka wasipokee rushwa? Unahukumu kesi ya mamilioni, mtu anakulengeshea milioni tano, utaiacha kwa mwendo wa laki mbili kwa mwezi?! These learnt Brodas and sisters are a big joke then! Chichemi.250000tsh.
ok mkuu shukrani kwa taarifa kwa anayeanza mkuu unarange vipi kwenye TJS after makato yote!?ni lakisita hadi laki tisa. pia inategemeana kama wewe ni resident magistrate, district magistrate na miaka uliyofanya etc. vilevile kama wewe ni incharge au hakimu wa kawaida..upo hapo...