Kennedy
Platinum Member
- Dec 28, 2011
- 59,073
- 69,494
Jaka Moyo!!!!Dunia haikaliki,ahera hakuendekiiii...nimepatwa na mfadhaikoooo!😂😂😂😂😂
Jaka Moyo!!!!Dunia haikaliki,ahera hakuendekiiii...nimepatwa na mfadhaikoooo!😂😂😂😂😂





ila daaah nyie watumishi mna mambo ya ajabu sana ndio kwana tarehe 20Kweli umevurugwa nduguWatu mtaani wamevurugwa wanahamu washike hela na wenyewe wasafiri walau ndani ya nchi.Wafanyabiashara hali ngumu, wafanyakazi hali ngumu, wakulima hali ngumu.Kila mtu anaomba kwa Mungu.View attachment 2125133
Umeshikilia ATM cards za unaowadai?Nasoma comments kwa niaba ya wauza genge wenzangu
Ninao wadai hamna hata mwenye ATM cardUmeshikilia ATM cards za unaowadai?
Hongera Sana Mkuu, Naomba unikopeshe laki moja tu,nitakulipa nikivuna mpunga wangu huku Kamsamba.Kiasi cha TZS 785920 kimewekwa kwenye akaunti yako inayoishia na 09740 tarehe 22-02-2022. NMB Karibu Yako!
Punguza Pombe kijana.Kiasi cha TZS 785920 kimewekwa kwenye akaunti yako inayoishia na 09740 tarehe 22-02-2022. NMB Karibu Yako!
Koma...Hongera Sana Mkuu, Naomba unikopeshe laki moja tu,nitakulipa nikivuna mpunga wangu huku Kamsamba.



Hizo number mbona ziko kama number za gari zangu mbili!?Kiasi cha TZS 785920 kimewekwa kwenye akaunti yako inayoishia na 09740 tarehe 22-02-2022. NMB Karibu Yako!
Nitakomaje Mkuu wakati Nina shida na pesa?. Kwani kukopa pesa ni kosa??Koma...![]()
Mhhhh!!!!, Gari hilo linakuwa na namba nyingi hivyo?,tarakimu sita dah!!!Hizo number mbona ziko kama number za gari zangu mbili!?
Una shida mahalaKiasi cha TZS 785920 kimewekwa kwenye akaunti yako inayoishia na 09740 tarehe 22-02-2022. NMB Karibu Yako!
Sawa,am sorPunguza wivu mkuu.Hutaki niwe na pesa Nini?
wakulima ndiyo wa kuhurumia zaidi !! wana hali mbaya mbaya mno ila kizuri tu ni kwamba huwa hawalalamiki kabisa.Watu mtaani wamevurugwa wanahamu washike hela na wenyewe wasafiri walau ndani ya nchi.Wafanyabiashara hali ngumu, wafanyakazi hali ngumu, wakulima hali ngumu.
Kila mtu anaomba kwa Mungu.View attachment 2125133