Mshahara wa February bado?

Mshahara wa February bado?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
24,791
Reaction score
60,608
Watu mtaani wamevurugwa wanahamu washike hela na wenyewe wasafiri walau ndani ya nchi. Wafanyabiashara hali ngumu, wafanyakazi hali ngumu, wakulima hali ngumu.

Kila mtu anaomba kwa Mungu.


Screenshot_20220219-144738~2.jpg
 
[emoji1][emoji6][emoji16][emoji38]Leo Hii Dar Es Salaam
Mama Kaleta Mkate Wa Boflo Toka Ulaya Mkoba Umejaa Cash
Hizo neema labda zitaingia bajeti ijayo.au Kuna miradi ya kujazwa Sasa hivi?
 
Watu mtaani wamevurugwa wanahamu washike hela na wenyewe wasafiri walau ndani ya nchi.Wafanyabiashara hali ngumu, wafanyakazi hali ngumu, wakulima hali ngumu.Kila mtu anaomba kwa Mungu.View attachment 2125133
Uko serious kweli? Unauliza mshahara wa February Leo tar 20/02/2022?
Kwani uko [emoji1634][emoji898] ya ngapi?
 
Back
Top Bottom