Nianze na mleta mada ambaye mimi nakuona una matatizo makubwa ya kisaikolojia (It's not an attack, fellow psychologists wanaofuatilia mada zako watanielewa).
Kwanza nakubaliana na wewe kwa ulichokieleza na katika maeneo mengine the situation is even worse, je umeshawahi jiuliza ni kwa nini wamefikia pale,umeshawahi kukaa nao(Sidhani) na kuongea nao.Na je umewahi kufikiria namna yoyote ya kuwasaidia!? Kifupi tu tambua kuwa hakuna binadamu anayependa kudhalilika na ukimuona mtu anadhalilika ili mkono uende kinywani sio wa kumlaumu na kumtukana bali kumhurumia na kuangalia namna ya kumsaidia, calling them a "public toilet" might be "nicier" to you lakini tambua kuwa wangependa waheshimiwe. Na kama una watoto OMBA MUNGU SANA.