Makirita Amani
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 1,914
- 3,437
Hili ni swali ambalo huwa naona watu wakiulizana mitandaoni kila zinapofikia tarehe za mishahara, yaani tarehe 22 mpaka 25 za mwezi.
Ikitokea mshahara umechelewa hata simu moja tu, malalamiko yanakuwa mengi sana. Unajua kwa nini unakuwa umefulia kila zinapokaribia tarehe za mshahara?
Unajua ya kwamba umejichagua kuwa wakala wa mshahara wako, unaupokea na kuwalipa wengine, huku wewe ukibaki mtupu?
Kwenye kitabu cha ELIMU YA MSINGI YA FEDHA unakwenda kupata maarifa sahihi ya kukuondoa kwenye huo utumwa uliopo sasa, wa kuwa wakala wa fedha zako mwenyewe.
Soma kitabu hiki na utaweza kupata maarifa sahihi ya kifedha, yatakayokutoa kwenye madeni, kuongeza kipato chako na kukupa uhuru.
Pata kitabu leo kwa kupiga simu 0678 977 007. Karibu sana.
Ikitokea mshahara umechelewa hata simu moja tu, malalamiko yanakuwa mengi sana. Unajua kwa nini unakuwa umefulia kila zinapokaribia tarehe za mshahara?
Unajua ya kwamba umejichagua kuwa wakala wa mshahara wako, unaupokea na kuwalipa wengine, huku wewe ukibaki mtupu?
Kwenye kitabu cha ELIMU YA MSINGI YA FEDHA unakwenda kupata maarifa sahihi ya kukuondoa kwenye huo utumwa uliopo sasa, wa kuwa wakala wa fedha zako mwenyewe.
Soma kitabu hiki na utaweza kupata maarifa sahihi ya kifedha, yatakayokutoa kwenye madeni, kuongeza kipato chako na kukupa uhuru.
Pata kitabu leo kwa kupiga simu 0678 977 007. Karibu sana.