JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 8,324
- 17,911
Story na misemo ya wajinga hii, watu wanatumia mishahara na wanatengeneza ukwasi mkubwa, jamaa zangu, wamefungua mpaka makampuni,Mshahara wowote unaolipa hua ni cocaine iliyowekwa na wajanja kuua ndoto zako...kwahyo kadili unavyo tafuta kampuni ya kukulipa Hela nyingi maanayake unapambana mwenyewe kutumia hii DAWA ya KULEVYA (mshahara) kuua kipaji au ndoto ..tafuta boss mzuri
BVengineeeing, horizon, waanzilishi nilianza nao tukipokea mishahara kwa wa Hindi! Acha ujinga, tsfuta maisha,