Jamani naona wazee walituzoesha mapema...mambo yamekuwa hovyo mpka sasa au ni dalili za ongezeko la mwaka???njaa inatumaliza ambao hatuna akili za kujiongeza(wategemea mshahara) au wadau kuna fununu zozote jikoni huko???
Nafikiri ni busara mamlaka zinazohusika zingewapa taarifa watumishi mapema kuhusu hali. Ni taasisi imara pekee ambazo huweza kujenga mahusiano mazuri hasa katika taarifa na wateja wake
Nafikiri ni busara mamlaka zinazohusika zingewapa taarifa watumishi mapema kuhusu hali. Ni taasisi imara pekee ambazo huweza kujenga mahusiano mazuri hasa katika taarifa na wateja wake
Ila hii system sio sustainable kabisa.., watu walipwe kwa kadri wanavyozalisha, mtu hata akifanya kazi kwa bidii vp mshahara haupandi, asifanye kazi mshahara haupungui, sasa hii maana yake nn
kulalamika ni haki yako kikatiba... maana kazi umefanya na lazima ulipwe... ila jiwe mungu anamuona.... shangaaa salary imechelewa halafu haluna chochote kilichoongezwa
Jamani naona wazee walituzoesha mapema...mambo yamekuwa hovyo mpka sasa au ni dalili za ongezeko la mwaka???njaa inatumaliza ambao hatuna akili za kujiongeza(wategemea mshahara) au wadau kuna fununu zozote jikoni huko???
Jamani naona wazee walituzoesha mapema...mambo yamekuwa hovyo mpka sasa au ni dalili za ongezeko la mwaka???njaa inatumaliza ambao hatuna akili za kujiongeza(wategemea mshahara) au wadau kuna fununu zozote jikoni huko???
Ila hii system sio sustainable kabisa.., watu walipwe kwa kadri wanavyozalisha, mtu hata akifanya kazi kwa bidii vp mshahara haupandi, asifanye kazi mshahara haupungui, sasa hii maana yake nn
Ukiambiwa katiba ya tz hajakidhi mahitaji ya watanzania,mtu mmoja tu anafanya kazi zote,hatak kugawa madaraka,siku akisahau kubofya kitufe tu,ndo haya tunayashuhudia.