Mshahara nao tumegomewa!!!!

Mshahara nao tumegomewa!!!!

TANGAZO! TANGAZO!

Yeyote atakae pata taarifa ya kuandama kwa mwezi maeneo ya NMB atupe taarifa haraka ili kesho tusijikute tunaendelea tena na mfungo wa Koresma'


NB:Ikumbukwe kuwa mfungo uliopita mwezi ulionekana tarehe 19 June.
Vipi ukionekana NBC?
 
Jamani naona wazee walituzoesha mapema...mambo yamekuwa hovyo mpka sasa au ni dalili za ongezeko la mwaka???njaa inatumaliza ambao hatuna akili za kujiongeza(wategemea mshahara) au wadau kuna fununu zozote jikoni huko???
Mkuu hakuna cha mapema siku ni constant 30" ,,,mwezi huu ndo zaidi hadi 33
Hatari
 
Nafikiri ni busara mamlaka zinazohusika zingewapa taarifa watumishi mapema kuhusu hali. Ni taasisi imara pekee ambazo huweza kujenga mahusiano mazuri hasa katika taarifa na wateja wake
 
Nafikiri ni busara mamlaka zinazohusika zingewapa taarifa watumishi mapema kuhusu hali. Ni taasisi imara pekee ambazo huweza kujenga mahusiano mazuri hasa katika taarifa na wateja wake
Ila hii system sio sustainable kabisa.., watu walipwe kwa kadri wanavyozalisha, mtu hata akifanya kazi kwa bidii vp mshahara haupandi, asifanye kazi mshahara haupungui, sasa hii maana yake nn
 
kulalamika ni haki yako kikatiba... maana kazi umefanya na lazima ulipwe... ila jiwe mungu anamuona.... shangaaa salary imechelewa halafu haluna chochote kilichoongezwa
Jamani naona wazee walituzoesha mapema...mambo yamekuwa hovyo mpka sasa au ni dalili za ongezeko la mwaka???njaa inatumaliza ambao hatuna akili za kujiongeza(wategemea mshahara) au wadau kuna fununu zozote jikoni huko???
 
Jamani naona wazee walituzoesha mapema...mambo yamekuwa hovyo mpka sasa au ni dalili za ongezeko la mwaka???njaa inatumaliza ambao hatuna akili za kujiongeza(wategemea mshahara) au wadau kuna fununu zozote jikoni huko???
Tulia wewe, mwaka mpya wa fedha umeanza. Mfumo wa malipo wa 2019/20 bado haujafunguliwa. Vuta subra kwa siku chache tu.
 
Ila hii system sio sustainable kabisa.., watu walipwe kwa kadri wanavyozalisha, mtu hata akifanya kazi kwa bidii vp mshahara haupandi, asifanye kazi mshahara haupungui, sasa hii maana yake nn
Ukiambiwa katiba ya tz hajakidhi mahitaji ya watanzania,mtu mmoja tu anafanya kazi zote,hatak kugawa madaraka,siku akisahau kubofya kitufe tu,ndo haya tunayashuhudia.
 
Mwisho wa mwz bado, kwahiyo usiwe na pressure, bado siku saba mpk mwisho wa mwezi, kule kuwahi kwa mishahara miezi ya nyuma ni bahati mbaya tu!!!
 
Mwisho wa mwz bado, kwahiyo usiwe na pressure, bado siku saba mpk mwisho wa mwezi, kule kuwahi kwa mishahara miezi ya nyuma ni bahati mbaya tu!!!
Kwan wewe umejiari?? Maana unaongea as if unamiliki bakhresa group of companies
 
Back
Top Bottom