data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,943
- 23,883
Hizi L na R nishida sana kwa sasa. Walimu wa kiswahili inabidi walifuatilie kwa kina zaidi..Ilipereka =IlipelekaWizara ya fedha inafunga mahesabu kwa hyo kila halmashauri ilipereka mahesabu yake Dodoma,tuvumilie .Mwezi jana waliopamda madaraja walikuwa wachache wakasingizia eti aliyekuwa anaingiza majina alopata msiba
Kweli!mkuu ya kweli hayo![]()
Jamani naona wazee walituzoesha mapema...mambo yamekuwa hovyo mpka sasa au ni dalili za ongezeko la mwaka???njaa inatumaliza ambao hatuna akili za kujiongeza(wategemea mshahara) au wadau kuna fununu zozote jikoni huko???
Wanaongeza mshaharaJF ndio mwajiri wako? au ni vyeti feki, si uingie ofisini umuulize boss wako
Uko wapi? nimeuza ufuta nipo Pork joint njoo upunguze stress
Anaongeza...
sawa boss.JF ndio mwajiri wako? au ni vyeti feki, si uingie ofisini umuulize boss wako
Walengwa hasa watumishi wanaolipwa na serikali( civil servants) lakini am sure hata baadhi ya watumishi wa makampuni na taasisi wanaweza kupata maadamu tu trend yao ya mishahara ikae levelThanks! Na salary advance kwa CRDB kujiunga lazima uwe public sector(government) tu?Utaratibu wake?
Yes. Ila ni vyema ukaipakua, maana wako imara sana kwenye issue ya security wanaogopa wadukuziVipi bila App? Naweza kutumia browser
Ahahahaaaamkuu umenichekesha sabna mpaka washika virungu bado..har ni tete wakuu.
TANGAZO! TANGAZO!
Yeyote atakae pata taarifa ya kuandama kwa mwezi maeneo ya NMB atupe taarifa haraka ili kesho tusijikute tunaendelea tena na mfungo wa Koresma'
NB:Ikumbukwe kuwa mfungo uliopita mwezi ulionekana tarehe 19 June.







