Hivi wana jamvi yule jamaa Kainerugaba Msemakweli yuko wapi? Baada ya kutoa UFISADI WA KAGODA kapotea moja kwa moja! nina wasiwasi na mambo matatu.
- Kununuliwa na Mafisadi wa Kagoda
- Kujiunga nao ili apte nafasi serikalini
- kuogopa vitisho vya mafisadi alio wataja