Ipo siku Watanzania wataamka na kusema sasa inatosha kwa Dhulumati, sasa inatosha kwa Ufisadi, sasa inatosha kwa Wawekezaji Wezi(katika madini, gesi n.k), sasa inatosha kwa hawa Wahindi Koko kututawala na kuweka mifukoni mwao vyombo vya kutetea haki zetu kama Mahakama n.k. Siku hio ipo inakuja muda si mrefu.
Mungu ibariki Tanzania