Msemaji wa zamani wa Ghadafi : Libya ilipigwa vita kwa sababu kuongoza juhudi za Afrika kujikomboa kiuchumi kutoka kwa mabeberu

Waafrika ndio waliomuangusha na kumsaliti Ghadafi.

Yani Mabeberu wametoka wamekuja kumpiga Ghadafi wao wamebakia kutoa macho tu. Bara la kipumbavu sana hili

Hatari sana yaani tuliishia ku laani kinafiki tu, kweli Ghadafi alikuwa na mapungufu yake kama watawala wengi lkn mema yake ni mengi kwa jamii yake na Africa kwa ujumla

Maana hata kwetu kuna watu mpaka leo wana laani sera za ujamaa na kujitegemea n uanzishwaji wa vijiji vya ujamaa kwa nguvu na kuna watu walipoteza mali mpaka maisha wengine kwa oparation hiyo

Achia mbali azimio la Arusha kuna wengine wanasema sera hizo ndo chanzo cha umasikini wetu japokuwa pia mazuri yake kama mshikamano wa kitaifa upo kutoka na sera hizo hizo

Kila kiongozi ana shida zake mbaya zikiwa nyingi tu
 
Sawa lakini na yeye alikua dikteta. Na mwisho wa madikteta siku zote unakua sio mzuri.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Waafrika ndio waliomuangusha na kumsaliti Ghadafi.

Yani Mabeberu wametoka wamekuja kumpiga Ghadafi wao wamebakia kutoa macho tu. Bara la kipumbavu sana hili


Viongozi wa kiafrika wengi wao wanafki tu hawana lolote...watu mpaka wanaingia bara letu kumkill Gaddafi na washenzi wanaangalia tu akifanyiwa unyama...ni kama vile AU ichoropoke kwenda kuivamia uingereza na kufanya unyama kwa Theresa May's na wazungu wakungalie tu inawezekana kweli!!! Sisi waafrika wengi wetu No akili hata awe na degree 100 lakini kichwani bado zero kabisa.
 
Lakini Hatutamsahau Kwa Kuleta Majeshi Yake Uganda Kusaidiana Na Iddi Amin Kuua Wadanganyika Na Kuleta Misaada Yenye Masharti Ya Kidini
 
Kukaa madarakani zaidi ya miaka 40 na kuifanya Libya kama nchi yake
Mkuu Norway, sweden, Denmark ni nchi kubwa duniani na pia zinaongozwa kifalme, King harald wa Norway yupo madarakani tangu 1991 almost miaka 28 sasa hivi, kuna nchi 12 ulaya zenye wafalme.

Sio hivyo tu nchi nyingi za kiarabu za Gulf zina wafalme kama Oman, Saudia, Uae etc na tumeona Saudia wanaua nje nje na Marekani kaufyata as long as ana interest zake .

Hivyo sidhani hilo la Gadaffi kuwa dikteta na kukaa madarakani muda mrefu ni kigezo cha wao kumtoa na kuacha nchi nyengine.
 
Back
Top Bottom