Tusimtafute mchawi kwenye uchaguzi maana wananchi watafika mahala tutachoka na mamabo ya kususasusa, pigeni kazi acheni mambo ya misuso
Tusimtafute mchawi kwenye uchaguzi maana wananchi watafika mahala tutachoka na mamabo ya kususasusa, pigeni kazi acheni mambo ya misuso
Nasikia harufu ya ngariba....Hawa jamaa wanapoteza muda na fedha zetu kwa ujinga wao,hueta siasa hata kwenye mambo ya maana,naona kajisahau anadhani baado yupo BBC
ngariba mkuuSasa hapo nani anaumia?
Tutaikuta kesho kwenye Mtandao usiwe na shida.
AG ni kada wa CCM tunamfahamu.
Kwahiyo?
Umefikiria jambo kubwa sana mkuuTuleteeni huku tutaisoma na kuisambaza
Ukimwachia Ngariba, upo uwezekano akaondoka na kichwa.
Msemaji wa upinzani katika Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira na Muungano, Ally Salehe amesusa kusoma hotuba yake ya upinzani kuhusu wizara hiyo baada ya kulazimishwa kuacha kusoma baadhi ya maneno yakiwamo yanayohusu Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar na mgogoro wa CUF.
Hali hiyo imetokea bungeni leo Jumatatu baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali(AG), George Masaju kusimama na kupinga baadhi ya maneneo aliyotumia kama “Kila wizara imekiona cha moto, wamebanwa mpaka wamevunjwa mbavu” na kuwa Ofisi ya Makamu wa Rais imeathirika vibaya na kisu cha ngariba kwa kukata bajeti yake.
Baada ya malumbano, Mwenyekiti wa Bunge, Musa Zungu alitoa uamuzi kuwa maneno yaliyoandikwa kuanzia ukurasa wa tatu hadi wa saba kwenye hotuba hiyo yasisomwe wala kurekodiwa kwenye kumbukumbu rasmi za Bunge.
Baada ya uamuzi huo, Salehe alisema basi asingeendea kuisoma hotuba yake na yaliyobaki anamwachia ngariba afanye anavyotaka.
Itakuwa haina maana,haitambuliki na sio rasmiTuleteeni huku tutaisoma na kuisambaza
Tabora na Ifakara mmepigwa za shingoHawajasoma!!! Matokeo yanategemeana na wananchi wanataka nini.
Tusubiri
Basi hamna shida madam inalipaTabora na Ifakara mmepigwa za shingo
Maneno ya kuishiwa hojaBasi hamna shida madam inalipa
Maneno ya kuishiwa hoja
kuna warakini katika uwezo wako wakufikiriSasa wewe ni boya kweli, sasa Ukisusa unamkomesha nani? government ama¿ akili haipimwi kama maharage bali kwa namna unavyofikiri