Msemaji wa CUF, Hamad Massoud akamatwa Zanzibar

Msemaji wa CUF, Hamad Massoud akamatwa Zanzibar

Huyu ndiyo alikuwa anaratibu wale wanaotupa mabomu hovyo mitaani.
Ukikamatwa utoe ushahidi unao? Au unadhani wakikusaka wazee watashindwa kukupata?
Msipende kuropoka kisiasa vitu serious kama hivi vya kiusalama!
 
Tuwaombee Uchaguzi wa Salama, kuchochea au kutiana hofu haitasaidia, Zanzibar kuwa na fujo haimaanishi kuwa upande wa bara tuko salama, hili si tatizo la wazanzibar ni la watanzania wote, Mungu tunaomba ulipiitishe salama hili jambo.
Inshallah Mwenyezi Mungu S.A.W atufanyie wepesi Ktk jaribu hili.
 
Sasa hivi sitaCOMMENT kuhusu nyuzi za Zanzibar.

Nataka niwe mshuhudiaji TU wa hii MOVIE. Ngoja nikaange pop corn za kutosha na nikanunue miwani ya 3D na projector.
Wakati umejifungia ndani ukiangalia hii movie kuna tetesi huenda moto huu ukafika hadi maziwa makuu na hasa hapo ulipo,zumari likipigwa zanzibar maziwa makuu wanacheza.
 
Angalia tu kuna siku utanyea debe na hao unaowatukana na kuwakashfu leo kwa sababu unabebwa na Chama Cha Mbweha watakuwa wasamaria kwako.utaja lia kilio cha mbweha kisichokuwa na mbembelezaji.Usichezee shilingi chooni.
Beach.
 
Kaimu mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano na umma wa CUF , Hamad Masoud , amekamatwa na polisi akiwa nyumbani kwake Mbweni mapema asubuhi ya leo . CUF itatoa taarifa ya nini kinachoendelea
 
Ukikamatwa utoe ushahidi unao? Au unadhani wakikusaka wazee watashindwa kukupata?
Msipende kuropoka kisiasa vitu serious kama hivi vya kiusalama!
Huyo si juzi alitoa kauli ya kuwa kuna baadhi ya wananchi wameshaanza kukimbia misituni Pemba. Sasa leo ameitwa akatoe ushahidi wa aliyozungumza na kupeleka vielelezo na akishindwa kutoa kuthibitisha kama aliyoyazungumza ni kweli basi atashitakiwa kwa kuidanganya jamii kwa lengo la kuanzisha mfarakano na machafuko...
 
Huyo si juzi alitoa kauli ya kuwa kuna baadhi ya wananchi wameshaanza kukimbia misituni Pemba. Sasa leo ameitwa akatoe ushahidi wa aliyozungumza na kupeleka vielelezo na akishindwa kutoa kuthibitisha kama aliyoyazungumza ni kweli basi atashitakiwa kwa kuidanganya jamii kwa lengo la kuanzisha mfarakano na machafuko...
Kwa hiyo huo ndio ushahidi kuwa yeye anasimamia urushaji wa mabomu ovyo?
 
Aksante sana Amiri Jeshi Mkuu. Jakaya kawapa Rais Mpemba Dr.Shein japokuwa CCM znz ilikasirika sana, akaitisha NEC Butiama June 2009 akawashinikiza CCM wakubali Mseto lakin Mwishowe Seif anahutubia Wapemba wenzie anasema Msimuone Kikwete anacheka cheka ni Mtu mbaya sana kwa Zanzibar, Sasa kapatikana anaeipenda Zanzibar.
Akili za mfukoni ni kichekesho kweli! Ndio msana nilishwasema nikikuta MTU anashangilia ulipuaji mabomu huko siwezi kumshangaa
 
Back
Top Bottom