Seto
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 953
- 53
hivi huyu msekwa kusema eti katiba yetu haina makosa ila tuna tatizo la kimaadili kichwani zinamtosha kweli?..
sasa mfano hicho kifungu kinachosema kuwa rais wa tanzania hatoshtakiwa popote akiwa na baada ya kutoka madarakani kwa makosa atakayofanya akiwa madarakani si ujinga huu,,,,sa si wataendelea kufanya madudu tu kwa sababu katiba inalinda ufisadi wao?
sasa mfano hicho kifungu kinachosema kuwa rais wa tanzania hatoshtakiwa popote akiwa na baada ya kutoka madarakani kwa makosa atakayofanya akiwa madarakani si ujinga huu,,,,sa si wataendelea kufanya madudu tu kwa sababu katiba inalinda ufisadi wao?