STimira
Senior Member
- Feb 14, 2012
- 133
- 24
angezitaja hizo mpya ili kingunge akajisomee ,tofauti na hapo Tutamfuata Lowasa Popote (TLP)
Nimeipenda hii TLP....!!!!!
angezitaja hizo mpya ili kingunge akajisomee ,tofauti na hapo Tutamfuata Lowasa Popote (TLP)
Nafikiri na wewe ukumsoma vizuri na kumsikiliza vyema. Kama unayo video rejea tena alivyosema. Kawasemea wote. Kamati ya maadili kupeleka majina matano haikuwa sahihi haina madaraka hayo. Alisema wote 38 walipaswa kufikishwa kwenye kamati kuu n kuojiwa (tena akasema maswali sinzaidi ya matatu). Najua na yeye anajua hawakutaka jina la lowassa lifike hata Kamati Kuu maana hawakuwa na uhakika kama litaweza kukatwa huko! Lakini kama ni kusemea alisemea wote siyo Lowassa pekee.
UHURU NI daily Order.kumbe ni gazeti la Uhuru = CCM...
Hv mnalisomaga haya magazeti ya Nape...urojo mtupu...pumba bin ujinga
Kama kweli mzee Kingunge anatetea kuvunjwa kwa taratibu kwanini anakaa upande wa LOWASA tu....ina maana hizo taratibu zimevunjwa kwa kukatwa Lowasa tu....
Je kama taratibu zingevunjwa kwa kumpitisha Lowasa angesema maneno hayo.....??
Nina hakika kama lowasa angepita kwa taratibu hizo hizo mbovu wala asingelalamika na nisingemshangaa akimshutumu kada ambaye angelalamikia taratibu hizo hizo mbovu....
Kwa hiyo kama Kingunge hazijui hizo kanuni kwa vile ni mpya jee na Nchimbi, Kimbisa na Sofia Simba nao hawazijui wakati ni wajumbe was KK?
Msekwa anyamaze tuu kwa vile CCM wameumbuka kupitia Kingunge
Kwakweli kingunge kajipotezea heshima yake
Maneno ya fisi mkosaji hayo.Ccm vipande-vipande
Ukisoma umetulia kauli ya Msekwa ni ya kisiasa zaidi kuliko uhalisia. Kingunge kasema kanuni na taratibu zilizopo ambazo hazijahuishwa, mbona Msekwa hakusema zilibadilishwa lini?
Unataka kusema hata hao akina Nchimbi na wenzake ambao ni wajumbe wa kamati Kuu hawakufahamu hizo Kanuni zilizobadilishwa? Na hao akina Mtaturui wanaisdhi katika maisha ya zamani ambayo kilichosemwa adharani na mwenyekiti hapaswi kupingwa.
Ingawa mimi ni mmoja wa wale waliokuwa wanapinga kuteuliwa Lowassa lakini kwa maoni yangu huyu Mzee amejirejeshea heshima kwa jamii kwa kusimamia uvunjifu wa taratibu na kanuni.
![]()
- Asema hajui kanuni, amepitwa na wakati
- Mtaturu(katibu CCM Mwanza): heshima ya Kingunge imeshuka
Makamu Mwenyekiti Mstaafu CCM Pius Msekwa amesema tuhuma zinazotolewa na mwanasia mkongwe nchini , Kingunge Ngombale Mwiru dhidi ya vikao vya juu vya chama hazina ukweli wowote.
Msekwa alisema, tatizo linalomkumba Mzee Kinunge ni kuganda kwenye utartibu uliokuwa ukitumika wakati yeye alipokuwa Mjumbe wa Kamati Kuu miaka mingi iliyopita
Aliongeza kuwa Mzee Kingunge hana habari na kanuni zinazotumiaka sasa na hajataka uzifaamu.
Katika hatua nyingine. Katibu wa CCM mkoa wa Mwanza. Miraji Mtaturu, amesema Mzee Kingunge amejipotezea heshima aliyojijengea kwa miaka mingi kutokana na kauli zake.
"Nashangazwa na kauli iliyotolewa na Mzee Kingunge akiwatuhumu (wazee) kuendesha vikao vya mchakato wa kumpata mgombea urais kwa mizengwe na ajenda ya siri"
"Ukiona mtu anabadilika ujue amenunuliwa...!
Chanzo: Gazeti la Uhuru😛 1, pg4
MY TAKE
Kingunge anatikisa mzinga wa nyuki!
(mods thanks for the clarity)
Kwa hiyo kama Kingunge hazijui hizo kanuni kwa vile ni mpya jee na Nchimbi, Kimbisa na Sofia Simba nao hawazijui wakati ni wajumbe was KK?
Msekwa anyamaze tuu kwa vile CCM wameumbuka kupitia Kingunge