Jay Milionea
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 1,185
- 154
Umejitahidi sana kumpigia chapuo huyo mzee mwenzako Mamvi na kalalamikia NEC kwa kukatwa jina lake sasa wewe mzee unahitaji kitu gani, maana kama kukatwa watia nia 37 wamekatwa pia iweje we uendelee kulalamika na kusema ni jambo haramu, wewe kwani Lowassa alikuahidi kitu gani mpaka umtetee hivo?
Naona sasa mzee umechoka bora upumzike tuachie Magufuli wetu, kama huna kazi bora uwe una lalala kwanza unajiaibisha tuu mzee mzima ovyooo!
Ndo maan Nape Nnauye kakujibu kwamba fanya unachotaka kufanya, sasa huoni kuwa ni fedheha hiyo? Dah aibu hiyo
Naona sasa mzee umechoka bora upumzike tuachie Magufuli wetu, kama huna kazi bora uwe una lalala kwanza unajiaibisha tuu mzee mzima ovyooo!
Ndo maan Nape Nnauye kakujibu kwamba fanya unachotaka kufanya, sasa huoni kuwa ni fedheha hiyo? Dah aibu hiyo