Kwa kuanzia unajua hata kirefu cha MSD?
Msaidie huyo ndugu kupata anachoouliza usihamishe mada, najua umemuelewa alichouliza sasa mambo ya kirefu cha msd unataka ya nini?
Medical Store Department.
Huwezi kuomba kazi sehemu hata hujui panaitwaje. Msingi wa swali langu upo kwenye title ya uzi wake. Mpaka hapo amekwisha saidiwa sana kwa kuanzia.
Msaidie huyo ndugu kupata anachoouliza usihamishe mada, najua umemuelewa alichouliza sasa mambo ya kirefu cha msd unataka ya nini?
Medical Store Department.
sawa sawa mkuu hatuitaj mana ya maneno km anajua bc atueleze, co kuanza kujifanya anajua virefu vya maneno shabashhh
Na mimi natafuta kazi ya job.
Umeua kabisaaaaa. Tatizo letu hatupendi kujifunza, kuonesha hatujui wala kukosolewa. Utaombaje kazi kwenye Taasisi, kampuni au shirika ambalo hata hujui kwa usahihi linaitwaje.
Ukianza kwa kumuonesha mapungufu yake na kumkosoa anajifanya nunda.
kama ni hii MSD ya madawa basi uwe na profesheni za madawa kwanza, au management, administration, procurement, secretarial courses n.k. Ajira zao zinatangazwa katika magazeti ya serikali kwa zile zisizohusiana na pharmacy, na za pharmacy hupangiwa moja kwa moja kutoka walioomba wizara ya afya au kwa kuangalia utaratibu mwingine utakaofaa. Nakutakia kila la kheri kama umewaza eneo hili, ila jipange vizuri
Sasa umebisha nini halafu umeandika nini? Eti "Acha uongo ww"Acha uongo ww, MSD ni store to na waajiriwa wengi ni store keepers, accountants, suppliers, na hao wa medicine