Nicky nicky
Senior Member
- Aug 20, 2011
- 106
- 9
Natumai kozi zinajieleza zenyewe, shida yangu kubwa hapa mi kufahamu utofauti wa kozi hizo mbili hasa katika value na mambo mengine kwani nataraji kusoma moja wapo hivyo ni vyema nikapata ufafanuzi kabla ya kutuma application.Note. Msc. ni ya mzumbe na mba ni inayotolewa na IAA wakishilikiana na Coventry university. Kalibuni